Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Sasa kama uwezo wao mdogo je? Kwanza atakae shangaa Simba kufungwa na Azam atakua na matatizo ktk mfumo wake wa akili, sababu haiingii akilini tuweze kumfunga wakati wa kwenda tushindwe wakati wa kurudi.

Wewe subiri mechi ianze, siku ile kwa Yanga mlipona kimiujiza leo lazima mkalishwe chini.
 
Sasa kama uwezo wao mdogo je? Kwanza atakae shangaa Simba kufungwa na Azam atakua na matatizo ktk mfumo wake wa akili, sababu haiingii akilini tuweze kumfunga wakati wa kwenda tushindwe wakati wa kurudi.

Kweli simba tumedhalaulika...
 
Kikosi cha Simba SC
1. Ivo
2. Willium
3. Rashid
4. Musoti
5. Owino
6. Mkude
7. Chanongo
8. Henry
9. Tambwe
10. Uhuru
11. Singano
SUB: berko, chollo, humud, awadh, chombo, badru na twaha
Umeyapata wapi? hivi Cholo hajapona tu....
 
Simba-Sports-Club.png

unbeatensimba2012.jpg

simba.jpg

da8f9017a7451c7d37d5103a9bdf5292.png


Hatuna namna inabidi kujikumbusha vikosi vilivyokuwa vinatisha miaka ile.
 
Pointi 6 hizi ni tamu zaidi ya zote kwa SSC. 3 kutoka Azam na zingine 3 kutoka Jangwani.Tunajua wengine watawaomba radhi wapenzi wao! lakini wengine watajipongeza kwa usemi tumekufa 'kiume'.Mnyama ni mnyama.

Mbona kitufe cha like sikioni?
 
mnyama leo anakuja mjini anakunywa juice alafu anarudi porini
kama kawa kama dawa simba ushindi muhimu
 
Huku watoto wa jiji,watoto wanaokukimbiza dak 90,watoto waliozua gumzo ligi kuu MBEYA CITY wakiendeleza mambo yao pale Mbeya.Viva mbeya cty,yanga sare leo,Azam leo anakula vyake 2.
 
Back
Top Bottom