Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Pamoja na kwamba Simba tuna hali mbaya lakini sidhani kama tutakubali kuwa ngazi kirahisi namna hiyo, Azam wanakaa na Yanga nao wakija wanakaa, tafuteni ngazi zingine za kupandia kwenda kwenye ubingwa wenu, sisi sio ngazi.
mkuu habari yako.., nyie tusaidieni kuwakalisha azam, ila tukikutana na nyie lazima mkae tu.
 
kwa MARA YA KWANZA, leo naiombea simba ishinde.
cc Katavi,kitoabu

Pamoja Mkuu, nasikia kuna baadhi ya Mambumbumbu wamejipanga kuizomea timu yao ili ifungwe na Azam, sisi tupo tutaishangilia Simba imkamue Azam. Kama Simba watacheza kinazi ili wafungwe watakabiliwa na adhabu kali ya kushushwa daraja kwa kupanga matokeo.
 
Last edited by a moderator:
mkuu habari yako.., nyie tusaidieni kuwakalisha azam, ila tukikutana na nyie lazima mkae tu.

Mkuu sio rahisi kama unavyofikiria, wale madogo uwezo wanao sana tatizo sijui ni utoto au baadhi ya viongozi wanawatumia, na mechi kama hizi ndo huwa wanajitahidi kuonyesha uwezo wao wote.
 
Pamoja Mkuu, nasikia kuna baadhi ya Mambumbumbu wamejipanga kuizomea klabu yao ili ifungwe na Azam, sisi tupo tutaishangilia Simba imkamue Azam. Kama Simba watacheza kinazi ili wafungwe watakabiliwa na adhabu kali ya kushushwa daraja kwa kupanga matokeo.
Na hlo ndio tatizo la tmu za bongo..leo simba anaweza kucheza ili kuikomoa YANGA,
 
Mkuu sio rahisi kama unavyofikiria, wale madogo uwezo wanao sana tatizo sijui ni utoto au baadhi ya viongozi wanawatumia, na mechi kama hizi ndo huwa wanajitahidi kuonyesha uwezo wao wote.
na hali hyo husababishwa na timu zetu kuruhusu kiongozi mmoja mmoja kusajili mchezaji anayemtaka yy, matokeo mchezaji hufuata matakwa ya aliyemsajili.
 
Kikosi cha Simba SC
1. Ivo
2. Willium
3. Rashid
4. Musoti
5. Owino
6. Mkude
7. Chanongo
8. Henry
9. Tambwe
10. Uhuru
11. Singano
SUB: berko, chollo, humud, awadh, chombo, badru na twaha
 
Pointi 6 hizi ni tamu zaidi ya zote kwa SSC. 3 kutoka Azam na zingine 3 kutoka Jangwani.Tunajua wengine watawaomba radhi wapenzi wao! lakini wengine watajipongeza kwa usemi tumekufa 'kiume'.Mnyama ni mnyama.
 
Pointi 6 hizi ni tamu zaidi ya zote kwa SSC. 3 kutoka Azam na zingine 3 kutoka Jangwani.Tunajua wengine watawaomba radhi wapenzi wao! lakini wengine watajipongeza kwa usemi tumekufa 'kiume'.Mnyama ni mnyama.

Endapo Mnyama ataikamua Azam nitamwaminia. Hiyo mechi ya mwisho leo siizungumzii.
 
Pamoja Mkuu, nasikia kuna baadhi ya Mambumbumbu wamejipanga kuizomea klabu yao ili ifungwe na Azam, sisi tupo tutaishangilia Simba imkamue Azam. Kama Simba watacheza kinazi ili wafungwe watakabiliwa na adhabu kali ya kushushwa daraja kwa kupanga matokeo.
Sasa kama uwezo wao mdogo je? Kwanza atakae shangaa Simba kufungwa na Azam atakua na matatizo ktk mfumo wake wa akili, sababu haiingii akilini tuweze kumfunga wakati wa kwenda tushindwe wakati wa kurudi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom