Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Napenda kuona Yanga ikichukua ubingwa na Simba ikiambulia angalau nafasi ya pili lakini sipendi kabisa Simba kuwa nafasi ya nne. Kwa mwenendo huu ligi imekosa msisimko kama ilivyokuwa kwenye Mapinduzi Cup baada ya Yanga kujitoa.

mjitoe na vpl kama vipi..
 
Usije ukashangaa siku hiyo mashabiki wa Simba nao wakawa wanaishangilia Azam, inaweza kuwa mara ya kwanza upande wa kulia wa uwanja wa Taifa ukashabikia Simba na upande wa kushoto ukashabikia wapinzani wao.

Ooh my God keep me alive to see that day and if I won't see it, allow mandieta, Crashwise and others to see it, amen.
 
Last edited by a moderator:
Hawa wachezaji wa simba wameshazoe kushikwashikwa makalio na kibadeni, mzungu wanamuona shida sana
 
mjitoe na vpl kama vipi..

Tujitoe kwa lipi? Bingwa mtetezi na bingwa mtarajiwa ajitoe huku Mnyama akiwa hoi, ligi si itakufa kabisa, wewe unafikiri hako ka Azam kako kanapendwa na watu wengi? Narudia tena: 'bila Yanga na Simba madhubuti ligi yetu itayumba' (Matale, 2014).
 
Nasikia Messi wa Tanzania kavunja kioo cha mlango wa chumba cha kupumzikia wachezaji baada ya kufungwa na Coast leo uwanja wa Taifa
 
Nasikia Messi wa Tanzania kavunja kioo cha mlango wa chumba cha kupumzikia wachezaji baada ya kufungwa na Coast leo uwanja wa Taifa

Hawa Mbumbumbu SC wna mpango wa kutuharibia uwanja wetu. Yapelekwe shamba la bibi yakan'goe viti na kuvunja milango huko.
 
Nasikia Messi wa Tanzania kavunja kioo cha mlango wa chumba cha kupumzikia wachezaji baada ya kufungwa na Coast leo uwanja wa Taifa

Mtoto umleavyo, ndivyo akuavyo; walianza mashabiki sasa wachezaji nao wameambukizwa. Simba sasa kwishney! Kwa akili zao finyu wanajiandaa kuitibulia Yanga huku hawajui kuwa tutawamalizia kabisa ili Rage na Logaloga wafukuzwe.
 
Wachezaji wameangushwa na mashabiki,wamezoea kila siku wakipakatwa viti vinavunjwa

jana wakaamua wavunje vioo wenyewe!
 
Siku hiyo mi nitapiga uzi mwekundu wa Msimbazi kabisa.

Hoja imeungwa mkono, hata mimi nitanunua jezi nyekundu, nitaivaa wakati wa mechi. Mechi ikiisha nitairusha kwa mashabiki wa Simba ili mmoja aichukue iwe yake bureeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Nasikia Messi wa Tanzania kavunja kioo cha mlango wa chumba cha kupumzikia wachezaji baada ya kufungwa na Coast leo uwanja wa Taifa

Ndio matatizo ya kujipa majina makubwa wakati uwezo wao ni wakawaida sana........Messi yupo mmoja tu wa Barcelona wengine hao wa mikia ni makanjanja tu!!!!
 
Ndio matatizo ya kujipa majina makubwa wakati uwezo wao ni wakawaida sana........Messi yupo mmoja tu wa Barcelona wengine hao wa mikia ni makanjanja tu!!!!

Mi namtetea Dogo,unajua ukishaitwa Messi unatakiwa uwe na uwezo wa kuiokoa team yako hata kwa jitihada zako binafsi...sasa unaposhindwa kufanya hivyo ni rahic kupatwa na hasira
 
Leo ligi kuu ya vodacom inaendelea uku macho na masikio yakiwa uwanja wa Taifa pale Yanga (mabingwa watetezi) itakapo pambana na Prison ya Mbeya (wajelajela) huko Tanga Wanajeshi wa JKT Mgambo ya Handeni wataikalibisha Azam FC vinara wa ligi.
 
Leo ligi kuu ya vodacom inaendelea uku macho na masikio yakiwa uwanja wa Taifa pale Yanga (mabingwa watetezi) itakapo pambana na Prison ya Mbeya (wajelajela) huko Tanga Wanajeshi wa JKT Mgambo ya Handeni wataikalibisha Azam FC vinara wa ligi.

Mkwakwani leo,like a sister like a young sister!
 
Mkuu mandieta unamaanisha Azam ina vinasaba na wazee wa Bunju? kwa hiyo Mambumbumbu FC tusitegemee kuona yanatoa upinzani mechi na Azam?
 
Mechi yenye upinzani leo ipo Tanga, hapa dar hamna kitu tawi linaleta hasabu makao makuu

kwi! kwi! kwi! ngoja tuwafunge na nyie mechi ya mwisho halafu uniambie hilo tawi la Yanga mambumbumbu limeanzishwa lini.
 
Mechi yenye upinzani leo ipo Tanga, hapa dar hamna kitu tawi linaleta hasabu makao makuu

Tawi gani tena Mkuu? Hukumbuki Mambumbu SC walichukua ubingwa baada ya Prisons kuibana Yanga huko Mbeya na kule Tanga Mtibwa akilala mbele ya Coastal Union? Acha mpira uchezwe uwanjani.
 
Back
Top Bottom