Tawi gani tena Mkuu? Hukumbuki Mambumbu SC walichukua ubingwa baada ya Prisons kuibana Yanga huko Mbeya na kule Tanga Mtibwa akilala mbele ya Coastal Union? Acha mpira uchezwe uwanjani.
Hapo kwenye nyekundu ilikuwa ile timu ya Magomeni iliyokuwa inamilikiwa na Mh. Iddi Azzan, ilikuwa inaitwa Twiga sikumbuki vizuri