Sangomwile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 3,227
- 1,104
Ngasa,..joshua..ngasa anatembea,wanaokoa rhino
Tosha Yanga,tujiandae na mechi ijayo.
Ngasa,..joshua..ngasa anatembea,wanaokoa rhino
na mpira umekwishaaaa,kutoka Tabora Mwinyi stadium
mkuu si mbaya ukimaliza na summary ya mchezo!hali ilikuwaje,magoli na wafungaji na hata kama kuna matukio makubwa yaliyotokea uwanjani!na mpira umekwishaaaa,kutoka Tabora Mwinyi stadium
asante sana mkuu, sasa ubingwa umeanza kuonekanana mpira umekwishaaaa,kutoka Tabora Mwinyi stadium
Asante sana mtani.
mkuu si nilikuambia hawawezi dinda hawa?Hii mi Rhino ichunguzwe, imekuja ligi kuu kugawa points tu au? Kama vipi washushwe daraja na faini juu, Nyambafu!!
OKWI anazogwa na raia,ni fujo kubwa hapa,FFU wanavamia,kusambaza raia,
Hii mi Rhino ichunguzwe, imekuja ligi kuu kugawa points tu au?
Kama vipi washushwe daraja na faini juu, Nyambafu!!
mkuu si mbaya ukimaliza na summary ya mchezo!hali ilikuwaje,magoli na wafungaji na hata kama kuna matukio makubwa yaliyotokea uwanjani!
SumaryWakuu wangu Katiba Mpya imezingua na tunaachana na stress zake.Sasa pamoja na mimi kuwa Chalinze kwny kampeni lakini nitawalea LIVE game ya Yanga na Rhino Gari ya Yanga imeingia uwanjani,watu wanalipuka hapa.inapaki na kocha anashuka,akifuatiwa na Bartez,Chuji,Yondani,Ngasa etc.heeh mbona nusu ya timu hii ni SIMBA ya zamani.SIMBA CHUO CHA MAFUNZO.Updates! FT Yanga 3:Rhino 0
mpira ulikuwa poa kawaida.Rhino hawakua na amani hata mashabiki wa Tbr waliwageuka sababu ya kuwa mkiani.Goli zimefungwa na Tegete kipindi cha kwanza,kipindi cha pili Rhino walijifunga kabla ya Javu kukamilisha kalamu ya mabao akitokea bench,ilikuwa kazi nzuri ya OKWI mchezaji wa zamani wa Simba
JKT RUVU na Mbeya vipi wadau
Kwa nini wanamzonga Okwi?