Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
TBC Taifa wamejiunga.
Kwa jins mlivyokuwa na nafasi kuchukua pointi 3 kwa Azam ulitegemea mtaambulia 1?Sema 'ungependa adinde', uwezo wake utaamua: adinde au la.
Ahahahahaha.
Nahisi mkuu Masuke ni arsenal damu.
Mkuu mimi nilikuwa nashabikia Leeds enzi za kina Roque Junior, Mark Viduka, Alan Smith, Olembe.
Mpigie debe Riz1.
HT:Chelsea4-0Arsenal!!!!!
kwa upande wa mashabiki hakuna Rhino bali ni Simba kushoto mwa jukwaa kuu na Yanga upande mwingine.upande wa kusini watu ni wachache sana.lakini nje ni nyomi.sina hakika kama wataenda ndani now au fungulia mbwa
niombe radhi siwezi kuwa gamba,mimi ni KAMANDA
Hazard kesha piga hat trick.