Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

simba wanafanya vituko wanakatisha ktkt ya uwanja kwa mguu kuelekea vyumbani wakitokea lango kuu
 
Nipo kwenye mstari wa kuingia uwanjani da watu ni wengi wengi wamepitiliza tiketi tumeuziwa elfu kumi badala ya elfu5
 
Watu Wa Yanga Na Mbeya City Msije Mkakimbia Jukwaa.
Ushindi Kwa Simba Ni Lazma,
 
Leo Mbeya city hawataamini kinachoenda kuwatokea.
Mkuu Masuke umekua adimu kama jasho la nyoka,anyway mie nimesajiliwa Simba kwa mkopo kwa ajiri ya kutoa support hapa ndani leo,na hapa nilipo nimepiga uzi mwekundu wa mnyama.
Ila mechi ikiisha narudi jangwani.
Cc watu8 Makoye Matale WABHEJASANA ndetichia na wadau wengine wote wapenda kandanda.
 
Last edited by a moderator:
simba wanafanya vituko wanakatisha ktkt ya uwanja kwa mguu kuelekea vyumbani wakitokea lango kuu

hahahahaha
wamenza mambo ya imani zetu zileeeee.mpira hauhitaji porojo,mazoezi na kuwa na wachezaji wazuri ndio kila kitu
 
Simba wanaingia uwanjani kwa kuruka ukuta duuuu miaka ile ya 85 wananikumbushaa,cjui kama itawasaidia,alafu wamevaaa malapa
 
tiketi zimeisha watu wanarukam ukuta

Tabia za kuruka ukuta zinanikumbusha uwanja wa MGAMBO Mpwapwa,inabidi Mbeya City watengeneze uwanja unaofanana na hadhi yao,hii itasaidia kuondoa tatizo la watu kuruka uwanja
 
Huku kwetu umeme hakuna tangu asubuhi.tunategemea updates hapa hapa JF.
 
kikosi cha Simba
1. Berko
2. Lucian
3. Henry joseph
4. Owino
5. Musoti
6. Mkude
7. Messi
8. Ndemla
9. Tambwe
10. Kiemba
11. Chanongo
SUB: ivo, humud, awadh, zahoro
 
Ni saa kumi kasoro uwanja ushafurika , watu wapo nje na tiketi mkononi !!
 
kikosi cha MCC
1. Burhani
2. Kabanda
3. Mwasipili
4. Deo
5. Ken
6. Mkogolo
7. Kaseke
8. Mazanda
9. Yeya
10. Nongaw
11. Mesingwa
SUB: mapunda, kijuso, chundu, wilson
 
Back
Top Bottom