Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Nilikuwepo sokoine kuangalia mechi. mcc wanabebwa sana na refa, hususani kipindi cha kwanza refa wa kati alikuwa anaachia rafu za mcc, ile penalti haikuwa ya halali, mshika kibendera mmoja alikuwa anatoa offside dhidi ya simba zisizokuwa za halali.
Maneno ya mkosaji. Umeandika kishabiki mno kiasi kwamba sipati taabu kufahamu wewe ni wa timu gani.