Watu Wa Yanga Na Mbeya City Msije Mkakimbia Jukwaa.
Ushindi Kwa Simba Ni Lazma,
Leo chama langu 'MNYAMA'likipigwa basi ban ya maisha inanihusu.
I'm serious!!lazima Mbeya city akae
Cc Masuke ACCOUNT FULL
Mnyama Leo Anaua Mkubali Mkatae
Si kweli!kuna mtu anatumia id, si bure.
kikosi cha Simba
1. Berko
2. Lucian
3. Henry joseph
4. Owino
5. Musoti
6. Mkude
7. Messi
8. Ndemla
9. Tambwe
10. Kiemba
11. Chanongo
SUB: ivo, humud, awadh, zahoro
Kausha mkuu.hahhaaahhaa...naona leo umesema kama anavyotakaga yeye.
Mnyama Leo Anaua Mkubali Mkatae
Angalia usije ukakimbia mi nipo Komoro.
mmmh! hii ID ishaibiwa hakyanani, huyu si mandieta. Atakuwa shaffih dauda tu huyu!!!!Leo chama langu 'MNYAMA'likipigwa basi ban ya maisha inanihusu.
I'm serious!!lazima Mbeya city akae
Cc Masuke ACCOUNT FULL
Akiua tunamtia korokoroni.Mnyama Leo Anaua Mkubali Mkatae
mbeya mpira bado huko?
azam two bado hawajaanza kuonyesha.
Mkuu Masuke umekua adimu kama jasho la nyoka,anyway mie nimesajiliwa Simba kwa mkopo kwa ajiri ya kutoa support hapa ndani leo,na hapa nilipo nimepiga uzi mwekundu wa mnyama.
Ila mechi ikiisha narudi jangwani.
Cc watu8 Makoye Matale WABHEJASANA ndetichia na wadau wengine wote wapenda kandanda.
game ya yanga saa ngapi kwa saa za tz?Huko ngoma inaanza saa ngapi mkuu?!