WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
WABHEJASANA kwanini usibadirishe kichwa kuwa Mbeya City vs Simba? Maana Mbeya city ndio wako nyumbani.
Simba ni wakongwe kuliko mbeya city,pili simba ni maarufu kuliko mbeya city na mwisho ni ni taratibu tu zinazotumiwa na fifa na washirika wake katika kumpa kipaumbele mwenyeji.
Last edited by a moderator: