Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Acha us**nge usijifanue unajua sana wewe k**a

Hahahhaha ----- ww nmekufundisha kubali kuwa mjinga kwa mtu anaejua,nmekufundsha na umekir msaada wangu na unautumia so kubali kuitwa ZUZu,umekimbilia kuposst uzi huna ujuzi,,,,,,,,watu wa mpira hatuna matusi hzo gaps ulzoacha ukizijaza ww ztakuhusu mwenyewe,thumb down na uZero Brain wako
 
Chamazi mpira umekwisha

Ashanti United 0- 0 Kagera Sugar
 
engmtolela tunashukuru kwa taarifa

Haki ya nani leo mijitu ya Mbeya imeniudhi sana, yaani yanaendeleza mipasho tu utafikri miimba taarabu mama ma zenu! Shenz type kabisa! Badala ya kuleta updates hapa mnaendeleza mipasho tu! Hebu igeni kwa akina Makoye Matale bwana, jamaa wanaripoti mpaka unjiona kama uko uwanjani vile!
 
mbona hutupi update za maana? yambaf

Hhahahahhahahahaha bora naww umensaidia hili jammaaa lilidhan ujko kutuma live updates,utaskia anapost "mpira umetoka unarushwa hapa," hahhahahaha mkuuuu hiii ka n wito na ujanja hata kama sio mwana habar jifunze kwa wenzako wanavofanya mambo ya maaana wanapokiwa wanatoa updates
 
Mechi inaisha kwa sare japo si matokeo mazuri kwa mnyama
 
Nimewapa moyo wapenzi WA simba kuwa tunashinda hii mechi, muwe na subira wakuu wagu.
 
Back
Top Bottom