Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

marudio ya tv hapa yanazua utata kwa watazamaji, wengine ni penalt, wengine sio!
 
Acha us**nge usijifanue unajua sana wewe k**a
Aggrii majitu mengne bhnaa hata hayako aggressive yanakimbilia kuanzisha uzii saa nne asubh ili wawe wao afu wanashindwa simamia show, sio lazma mtu atembeleee page zote ili ajue n kip knaendelea, jifunze kwa wenzako, wLe wapuuz wasiasa wanavofanya yaah na vtu kma hvo
 
....kwakweli kuna kitu siyo bure. ata makocha wa Simba wameliona mpaka wakaamua kwenda kuwauliza kulikoni. Anyway ngoja Simba iendelee kuchezwa mpira vizuri kama kawaida itafika wakati marefalii wenyewe wataona aibu.

Msifungwe nyie nani Harpo Sokoine? Naona mshaanza sababu za mbaazi kunyauka name kusingizia jua.
 
somewhere at sokoine stadium..
1959232_431059040361081_275018321_n.jpg
hawa wako uwanjani au wanajiandaa kuingia!
 
Habari kutoka Comoro zinatanabahisha kwamba Kandambili kashinda 5 - 2 Comoronize. Na Mpira umeisha.
 
Back
Top Bottom