Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Hawa MCC vipi tena,
mnataka kumuokoa mandieta na adhabu.
 
Last edited by a moderator:
japo nimetabiri mechi kwisha kwa sare lkn mcc hucharuka baridini
 
KUTOKA COMORO

Fuuull TIME
Komoro 2-5 Young Africans
Yanga inasonga mbele kwa jumla ya mabao 12-2
- Mabao ya Yanga yamefungwa na Ngassa (Mabao matatu), Kiiza na Msuv

Kwahiyo Ngassa atakuwa anaongoza kwa magoli kwenye hii hatua(Magoli 6) bila shaka na kule watakuwa wamempa mpira wake kwa hiyo hatrick,akaze sasa awanie kiatu cha dhahabu
 
Mbeya city wanaleta changamoto sana katika ligi. Nadhami mikoa inayotoa timu za ligi kuu ina la kujifunza kuanzia mwamko wa wakazi wa mji husika hadi namna ya kujenga timu kuondoa utawala wa simba na yanga.... We have Azam,we have Mbeya City.... Well done
 
Back
Top Bottom