umeona update zake, ni kichekesho.... muelekeze basi tupate vitu...
droo si nzuri sana kwa timu zote
Owino amekosa gori la waz, ila UWANJA mbovu
Owino amekosa gori la waz, ila UWANJA mbovu
simba sikio la kufa tu.....
Bado 1-1 il a Zahorro Pazi amekosa nafac ya waz
SSC2-1MBC yanatosha MKUU au unasmaje?
mkuuu watu8 ni baada ya kuona wanakosa tu migoli..Mkuu mmeanza tena kushabikia droo??
Leo ninamtihani Simba wangu, Mbeya city wangu
Dooh next mechi tutaenda chezea Ulaya mkuu
kwao huo watahesabu ushindi!Simba watajidai sana wakidroo
Mkuuuu hiii itakuwa product ya Div Five tuuu make anaelekezwa haelewi,tusubr tu magazet
Matokeo bado ni goli moja kwa moja, dak 42 kipindi cha pili.Tupeni final results, acha kulalamika.
Tiba
ndio zetu wabongo kwenye kutoa updates...Hivi MCC hawakosi kosi magoli?