Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Naona MCC wameamua kutumia plan 'B' baada ya kuona tumewakamata.
Maana nasikia kuna bonge la wingu ili eti mechi istop,hapa ni kipigo tuu nyambafu.
 
Kwahiyo Ngassa atakuwa anaongoza kwa magoli kwenye hii hatua(Magoli 6) bila shaka na kule watakuwa wamempa mpira wake kwa hiyo hatrick,akaze sasa awanie kiatu cha dhahabu

Kwa waarabu anayo mawili.
 
Naona MCC wameamua kutumia plan 'B' baada ya kuona tumewakamata.
Maana nasikia kuna bonge la wingu ili eti mechi istop,hapa ni kipigo tuu nyambafu.
We ndie unae tia nux hii mechi.
 
Mbeya city wanaleta changamoto sana katika ligi. Nadhami mikoa inayotoa timu za ligi kuu ina la kujifunza kuanzia mwamko wa wakazi wa mji husika hadi namana ya kujenga timu kuondoa utawala wa simba na yanga.... We have A am,we have Mbeya City.... Well done

tatizo la mikoani wanapandisha timu moja wanashusha nyingine, sa hivi huko hawaipendi Prisons, mwanza walidanganywa na Agira wa mikia waishushe toto eti wapandishe mwanza united wakagonga mwamba sa hivi wanatumbua mimachho!
 
sub iliyofanywa na Simba kumtoa Singano na kumuingiza Awadhi Juma sioni kama ni nzuri; kwa wachezaji wa Mbeya City walikua wanashindwa kupanda kwa ajili kumlinda Singano sasa hivi watapata uhuru wa kujitanua.
 
Goooooooooooooo,tumewakosa aise duuuu.Mnyama ni nouma,chezeya tabwe weye.
 
Kwahiyo Ngassa atakuwa anaongoza kwa magoli kwenye hii hatua(Magoli 6) bila shaka na kule watakuwa wamempa mpira wake kwa hiyo hatrick,akaze sasa awanie kiatu cha dhahabu
Magali sita ya ngassa leo ndio mwisho wake atawania kiatu cha dhahabu wakati timu tia tia maj kwa waarabu kawafunga hao hao watumbatu wavuvi wa vibua na kolekole
 
Back
Top Bottom