Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Huyo kocha wa Simba huwa anataka mwenyewe matokeo mabovu, utawatoaje Singano na Chanongo halafu utarajie timu ishambulie.
 
Aggrii majitu mengne bhnaa hata hayako aggressive yanakimbilia kuanzisha uzii saa nne asubh ili wawe wao afu wanashindwa simamia show, sio lazma mtu atembeleee page zote ili ajue n kip knaendelea, jifunze kwa wenzako, wLe wapuuz wasiasa wanavofanya yaah na vtu kma hvo

umeona update zake, ni kichekesho.... muelekeze basi tupate vitu...
 
Zahoro Pazi na Awadhi Juma hakuna wanachokifanya wameingia kuongeza idadi ya mechi ambazo wamecheza kwenye ligi ya Vodacom
 
Huyo kocha wa Simba huwa anataka mwenyewe matokeo mabovu, utawatoaje Singano na Chanongo halafu utarajie timu ishambulie.

Tupeni final results, acha kulalamika.

Tiba
 
Hizi droo za MCC zinawa cost sana, maana wakitoa droo 3 ni sawa na kufungwa mechi 2
 
Back
Top Bottom