ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Goooooooooooooo lah.
Tumewakosa babake lol!
nani hao tena city au mkia..
Goooooooooooooo lah.
Tumewakosa babake lol!
Dk ya 40 mcc1-simba0
wanawatafutia red niniYero kadi kwa mchezaji wa mbeya city
Yani mkuu we acha tu......mshika kibendera ana mpango gani na Mbeya City???? Kila wakati kibendera kiko juu pindi Simba inapoweka mipango ya kusawazisha.
hii mechi hamna tv inayourusha live?
Mh!sidhani.nadhani simu imeishiwa chaji..
wanawatafutia red nini
nimemfunza mchezo mbaya mama yako?