CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Pamoja mkuu.Makali ya simba yataonekana muda si mrefu MKUU kuweni watulivu.
Pamoja mkuu.Makali ya simba yataonekana muda si mrefu MKUU kuweni watulivu.
Dk ya 40 mcc1-simba0
Sikunyingine usipende kumdhamini mwehu. Leo wadau wamekuombea msamaha kwa pilato Sikunyingine watakuachia majanga yako.Duh,huyu refa bweg.e sana,yani sisi tumeomba ban atoi ata penalt?
Hii mechi simba bado ana uwezo wa kusawazisha na kuongeza.
ila wasichoke kipindi cha pili tu.
Hii mechi simba bado ana uwezo wa kusawazisha na kuongeza.
ila wasichoke kipindi cha pili tu.
We jamaaa ndo ulieanzisha uzi updates unaclick chin ya uzi wako kunasehem wameandika edit status,hapo hapo ndo unaclick den unaweka kama kunagoal au tukio lolote la maaana den unasave na kuupdtes,we hujifunz toka kwa wenzakoooo?
ndo wamesha choka namna hiyo!Wasichoke Mara mbili?
....kwakweli kuna kitu siyo bure. ata makocha wa Simba wameliona mpaka wakaamua kwenda kuwauliza kulikoni. Anyway ngoja Simba iendelee kuchezwa mpira vizuri kama kawaida itafika wakati marefalii wenyewe wataona aibu.Yani mkuu we acha tu.
Hawa maamuzi wamepewa kitu kidogo si bure.
kwa huyo refa wa mwanza sidhani kama Simba watapata ushindi hapo.Simba anashinda kabisa hii mechi.
benchi la simba lilikuwa linamlalamikia mwamuzi.
kocha loga alikuwa anamuonysha mshika kibendera kuwa kila mara ananyanyua tu kibendera.
We jamaaa ndo ulieanzisha uzi updates unaclick chin ya uzi wako kunasehem wameandika edit status,hapo hapo ndo unaclick den unaweka kama kunagoal au tukio lolote la maaana den unasave na kuupdtes,we hujifunz toka kwa wenzakoooo?
benchi la simba lilikuwa linamlalamikia mwamuzi.
kocha loga alikuwa anamuonysha mshika kibendera kuwa kila mara ananyanyua tu kibendera.
umenichekesha sana kiongozi..... kwaaa! kwaaaa!
nahisi kocha aliona kama imekuwa toomuch kwa simba ikiwa inashambulia.si ndio kazi yake au?