Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

WABHEJASANA ban ya maisha inamhusu huyu ndugu yako simba tukifungwa...

Tunamuombea sana ili hili lisitokee tafadhalini sana wadau tuombe sote kumkosa mandieta ni shughuli pevu,jamani mi si simba lakini inabidi niombe watoke sare ama washinde ili tumuokoe ndugu yetu huyu mandieta!!!
 
Last edited by a moderator:
Tunaomba wadau mtujuze kila hatua inayoendelea kwa maana simba ni kama fainali leo.
 
Kuidhamini Simba nisawa na kumdhamini chizi. Siku ya hukumu yeye anaendelea kuokota makopo wewe unaenda kuunywa uji segerea. Cc Mandieta.
 
Tunamuombea sana ili hili lisitokee tafadhalini sana wadau tuombe sote kumkosa mandieta ni shughuli pevu,jamani mi si simba lakini inabidi niombe watoke sare ama washinde ili tumuokoe ndugu yetu huyu mandieta!!!

Mkuu Invisible huyu mandieta alikuwa kaunta ya bar na alikuwa amelewa alipoomba ban ya maisha, tafadhali baada ya dk. 90 usitekeleze ombi lake hahahaaah!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom