Huu huu utashuhudia mwenyewe...
sijui naye yuko kaunta ya bar hajitambui!Ndio umeandika nini mkuu?
Naona umekua Petro kwa kunikana au siyo.
Maana mimi ni Simba damu leo.
We kijana! Jifunze adabu. Yani sisi wote humu ni mamburura? Unajua mimi ndio nimemfunza mchezo mbaya mama yako?hamna update ni vijembe tu na ujinga. mamburura mmekutana leteni update bana
Sory mkuu ni1-0 bado
kisa na mkasa ni nini mkuu..
naomba waishie hivyo hivyo kugongesha mwamba!Simba wanagongesha mwamba apa