hahhaaahhaa...naona leo umesema kama anavyotakaga yeye.
Umebuug men.... hapo lazima mkae..
Mbeya City kwa mkopo.
Angalia usije ukakimbia mi nipo Komoro.
game bado haijaanza mkuu? mana hapa azam tv ni full matangazo & miziki.Ndio kaka ili jamaa alizike, ila hapa mbeya pamenoga sana
mwambie kaka. Mbele ya MCC mnyama kwa leo namuweka kando.
hahhaaahhaa...naona leo umesema kama anavyotakaga yeye.
Huko ngoma inaanza saa ngapi mkuu?!
kikosi cha leo mkuu.Muda si mrefu mkuu
game bado haijaanza mkuu? mana hapa azam tv ni full matangazo & miziki.
Mweee!Karibu sana..
pw pw, unakarbishwa!aje aje kitaa hiki..