Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Updates mpambano wa Mbeya city na Simba

Join Date : 24th January 2012
Posts : 3,783
Rep Power : 1164
Likes Received505
Likes Given0



mkuu usiwe mchoyo wa LIKE
 
Wakuu naombeni tuanze kuagana maana hatutaonana tena humu jamvini.
Maana sipo tayari kukanusha nilichokiomba.
 
Mpira ni mkali sn apa uwanjani uwanja umefurahi sana
 
Mandieta uliyemkabidhi id yako leo atakupoteza kwenye jukwaa hili.
 
Nackia Ivo alisoma alama za nyakati mpm,akaamua kumuangushia jumba bovu Berko
 
Back
Top Bottom