Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,920
Wakuu naombeni tuanze kuagana maana hatutaonana tena humu jamvini.
Maana sipo tayari kukanusha nilichokiomba.
Ha ha ha haaah....na zile ID's nyingine nazo zinahusika na hii ban?
Wakuu naombeni tuanze kuagana maana hatutaonana tena humu jamvini.
Maana sipo tayari kukanusha nilichokiomba.
Nackia Ivo alisoma alama za nyakati mpm,akaamua kumuangushia jumba bovu Berko
Kapakaa kipodozi gani?Mesi anang'aa apa uwanjani
mkuu usijali we anza tu kufungua nyingine maana sijui kama jama watalegea!Wamemshika jini mata.k.o hao.
We subiri utaona.
Mnyama anakaaaaa....
Kwa nini mkuu?!haaaaaaaaaaaaaaa!!
Wakuu naombeni tuanze kuagana maana hatutaonana tena humu jamvini.
Maana sipo tayari kukanusha nilichokiomba.
Sipo tayari kwa hilo mkuu.Siyo ID tu, wanafunga hadi IP zote alizowahi kutumia, hapa ni kununua kompyuta/simu nyingine vinginevyo a-apologize hadharani, huenda Invisible atamsamehe.
Ha ha ha haaah!! Ataibuka na akaunti nyingine.
Lakini naamini mnyama anaibuka na ushindi.
WABHEJASANA ban ya maisha inamhusu huyu ndugu yako simba tukifungwa...Mkuu Makoye Matale mandieta amefanyaje,mbona naona anaaga humu jamvini?!
Huyo leo sijui vp, amesema kma scc ikifungwa apewe ban ya maisha!Mkuu Makoye Matale mandieta amefanyaje,mbona naona anaaga humu jamvini?!
Me nahisi Jana valentine yake alikula na elton john.hapo ulipo ni wp mkuu? mana ahadi zngne znasababishwa na mazingira.
Mkuu amavubi.... Mnyama hatoki.... Uchochoro henry Joseph.. Loga anafanya majaribio namba 3....hiyo ni sare au mnyama ashinde
Kambusu mamba shavuni.......kaomba ban ya maisha endapo simba akifungwa.