Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,937
- 1,192
Vp lema yupo hapo mkuu amani? Maana kamleta nasary huko
Lema cjamwona.
Vp lema yupo hapo mkuu amani? Maana kamleta nasary huko
sehemu zote ambazo CCM ina mizizi ndiko sehemu ambako wananchi wa huko wana pigika mbaya kabisa...rose ktk manyara anaomba awe chumvi.,wana wa dodoma wanachelewa,na hakuna watu wanaopigika kama wana dodoma uongo wamejibu kweli
Maandalizi ya uwanja wa mkutano yanaendelea,makamanda wote wapo Dodoma Tangu jana.mkutano utaanza saa saba mchana huu.
Mmmmmmhh!
Mmewakubali siyo!