Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma leo...

Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma leo...

Mynyka asema hawataki kuuziwa mbuz kwny gunia, cdm wanaendlea na kuwapitia wajumbe wote afu watatoa tamko
 
Katoka machemuli,kafuatia mnyika,thn naona anaingia mbowe
 
Mnyika anasema,cdm hawapo tayari kuuziwa,mbuzi kwenye gunia kuhusu katiba.
Ameahid cdm ipo kwenye hatua ya kuchambua wasifu wa kila mjumbe wa katiba.

Kwa wanavyuo anawashukuru kwa kujitoa kwao.

Anasema kwenye mkutano wa bunge hili,lile swala la mikopo ya elimu ya juu linarudishwa mlango wa nyuma.
 
Wanarudisha sheria ya marekebsho ya vyuo vikuu wanataka wanavyuo wa dom wasimamie na kuwakilisha vyuo vyote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom