Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma leo...

Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma leo...

Nyerere nw anasema tar ya mwsho ya ccm ni cku waktangaza kujiandksha
 
Kaongea silinde;sekta ya madini inaliingizia taifa pato la uchumi kwa 2.7% wakati bakheresa anaingiza 3%.anaongea v.nyerere
 
Asanteni sana mlioko huko Dodoma, mimi niko huku Central Africa, lakini najihisi kama niko live na nyie, mnanihabarisha vema sana, nawashukuru sana.

Vipi Lissu anaendeleaje kule kwake na kesi yake.

Alutaaaaaa Kontinuaaaaaaaaaaa mpaka kielewekeee
 
Duh hii nisawa na haki ya kisheria kabisa nafarijika sana kama mwana mapinduzi wa magamba kwa upamde huu wa Meru kusikia kina Agwe nao wako njiani kutuunga mkono kwenye mapinduzi ya magamba ila pamoja na yote Lusinde asirudi tena Meru iwe kwa mabaya wala mazuri tutamuonja tu........
 
napongeza harakati za kuikomboa DODOMA jamni sisi wenzenu tumechelewa kukumbatia kijani kijani ebu natamani ningekuwa hapo home nivute hata wazee wangu wasikie maneno yenye matumaini kutoka kwa makamanda maneno yenye kufikirisha na kujenga taswira ya kimaendeleo
 
Msigwa, kupambana na magamba c kaz rahic wengne watafungwa, watafkuzwa kaz n shule bt 2tashnda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom