Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma leo...

anasema ng'ombe hanenepi siku ya mnada,anahamasisha maandalizi ya ukombozi yaanze mapema.
 
anawaambia klm wameshakombolewa,na ccm ni chama cha upinzani,pia anahamasisha wanadodoma wajiandae kuandikisha majina katika daftari la kudumu la wapiga kuna,wakati huhuo Mnyika anaingia
 
Anasema jamuhuri ya ukerewe ye ndo raisi kule ccm ni chama cha zaman ktk kata 24 za ccm ni 5
 
Back
Top Bottom