I am Wacha1, you don't know? Ati CCM imechokwa kwani jina ndio tatizo. Huyu Mwizi wa mchana kweupe katoka CCM miaka yote amekuwa mwizi mkubwa kwenye mashirika ya umma na sasa ndio aliweza kujiingiza kwenye shirika la simu na kudhoofisha TTCL leo ndio mnamuona kama mfalme wenu pathetic, what type of people are you. You act like docile donkey.
mkuu mabomu yamepigwa sehemu gani? mbona naona taarifa ya mabomu kupigwa lakini sioni yamepigwa wapi?
Hakuna lolote huyo jambazi hawezi kuwa rais. You will come and tell me, I am old enough to know that EL will never govern this country whether you like it or not.
Nendeni mkanywe naye chai khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wakuu heshima kwenu,
Kwanza nianze kutoa pole kwa wanaofurahia mafuriko ambao umekuwa msemo wa ukawa.
Binafsi ukawa na mafuriko ni watu wanafiki wanaokumbatia ufisadi, kuwafanya wananchi watoto wadogo
walizunguka nchi nzima wakipinga ufisadi na baadae sasa hivi wanazunguka kuutakasa huo huo ufisadi na
watu ni wale wale hii ni aibu kubwa.
Nawapongeza Dr. Slaa, Prof. Lipuma na wengine wengi amambao hamjajitangaza lakini mtaonesha msimamo
wenu kuukataa unafiki huu uliofanywa na wababe wachache ndani ya UKAWA kwenye uchaguzi tar 25 oct.
Hakika hii ndiyo itakuwa GHARIKA kubwa ambayo itawakumba wengi nakuacha huzuni kubwa kwa waliokuwa
na matumaini ya kuingia ikulu ili wakaendeleze dili zao binafsi huku wengine wakiomba msaada na kubisha hodi
mlango wa CCM ili waingie tena na kukuta umefungwa kwa KUFULI kubwa na waliomo ndani watasema
hatukufunga sisi mwambieni RAIS J.P. MAGUFULI ndo mwenye uwezo wa kufungua.
MAFISADI, WALARUSHWA NA WAZEMBE JISAFISHENI GHARIKA YAJA ITAWAKUMBA WOTE OCT,25 2015
MAGUFULI NDIYE GARIKA AJAYE.