Iameliakenneth47
New Member
- Aug 13, 2015
- 1
- 0
Apo ni shida sasa
Mtanzania~ lowasa ndio jibu letu
Huo ndo ukweli, wote walio hama ni baada ya kushindwa kura za maoni mjimboni mwao akiwemo fisadi papa.Kwa hiyo CCM imewanyang'anya CHADEMA ajenda ya ufisadi na kwamba hao waliotoka wameondoka na ufisadi na kuuhamishia huko walikokwenda?
Time will tell.....
Hakuna lolote huyo jambazi hawezi kuwa rais. You will come and tell me, I am old enough to know that EL will never govern this country whether you like it or not.
Kumbe na wewe unakula kiroba kama LizaboniArusha ilikuwa njema sana, sasa hata nikigonga kiroba inashuka kiulainiiii
Right, I mean that is a very poignant question they have to answer, manake standard iliyowekwa na chama ni kwamba shutuma zilizozagaa zinazokuandama za ufisadi zinatosha kukukata. That was the linchpin of the process for killing Lowassa's candidacy. Okay, sawa, punguani ndio atabisha Lowassa ana shutuma.
Chenge na Tibaijuka na Ngeleja watakatwa? Kwa sababu hakuna mtu mwenye tuhuma nzito nchi hii kama Chenge na Tibaijuka. Lowassa amebisha hakuiba, na hatukumkamata na virumbesa vya pesa. Chenge na Tibaijuka wamekiri wenyewe kwamba hela za Escrow, Radar, n.k. wamekula, wamesema wamenunulia mboga, wamesema hawajali kwa sababu kwao hizi pesa za kitanzania hizi ni vijisenti, wamesema wao wenyewe! Tuhuma nzito. Watakatwa? JK, Nape, Kinana, jibuni!
Hebu zungumza kwa sauti usikike na MUSSA ALLANMnayo maneno mengiiii subirini kipenga kipulizwe ndio mtaijua CCM ni moto wa kuetea mbali.