Wananchi wa Arusha bado tunakumbuka miaka ya mateso wakati wa ubunge wa binamu yake Mzee Mbowe. Hatutaki kurudia yale mateso ambayo ni pamoja na fujo za mara kwa mara hadi mkoa ukakosa wageni waliokuwa wanatumia mkoa wa Arusha kama kitivo cha mikutano.
Kwa hiyo, tunawaombeni chonde chonde Pallangyo ndio awe mgombea wa CHADEMA kutokana na yafuatayo;
1. Wazazi wa Pallangyo ni wenyeji wa Arusha sio wahamiaji, hivyo watakuwa na uchungu wa maendeleo ya Mkoa
2. Binamu yake mzee Mbowe alishatamka wazi wazi kuwa ubunge kwake sio dili.
Kwa hiyo, tunawaombeni chonde chonde Pallangyo ndio awe mgombea wa CHADEMA kutokana na yafuatayo;
1. Wazazi wa Pallangyo ni wenyeji wa Arusha sio wahamiaji, hivyo watakuwa na uchungu wa maendeleo ya Mkoa
2. Binamu yake mzee Mbowe alishatamka wazi wazi kuwa ubunge kwake sio dili.