Mhimili ulishaingiliwa na majibu ya Kesi alishayatoa Kikwete usitegemee jipya wakati Rais alishaaema taratibu zilifatwa
Tupeni updates za hukumu sio kuanza kupre-empty issue. Kama Jk alishatoa leo kungekuwa na hukumu? Tujadili baada ya kuisikia, in the meantime wenye access watujuze.
..Tunasubiri Hukumu, acha kumbwandambwandaHuyu atashinda hakuna cha updates zozote! Tena mahakimu wa Kisutu, kama judges wanaweza kutoa hukumu za ajabu, sembuse hawa ambao wanaweza fukuzwa mara moja bila tume! Just wait and see. Utakuta hopeless issues zimekuwa raised kumwachia.
Aliyeuza jengo anasema risiti hii si ya kwangu, ya kwangu ni hii na mkataba wangu ni huu. Huu mwingine si wa kwangu. Unahitaji ushahidi gani tena!
..Tunasubiri Hukumu, acha kumbwandambwanda
Kumuku ipi, ni ndugu yako nini, hukumu inajulikana, ameshinda!
Leo ndio siku ya hukumu, kwa kesi ya kuhujumu uchumi inayowakabili hawa wawili, mwenye kujua kilichoamualiwa mahakamani tunaomba kujua.
Inadaiwa leo (Agosti 09, 2012) Mahalu kaibwaga serikali karika hii kesi!
Updates zinafuatia