Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Lazima itakuwa mazinyungu primary. Yeap bado ipo. Isipokuwa kuna shule nyingine ya sekondari ya kutwa imeanzishwa palepale kiilosa inaitwa Mazinyungu pia. So we have Mazinyungu Secondary School pia. Unapaswa kutembelea shule yako ilimupate radha ya ulikopitia.
nilidokezwa kuwa kwa sasa kuna shule tatu hapo mazinyungu,Mkondoa P/School,Madaraka na Mazinyungu wenyewe,,,pia hii ni changamoto