Wapi Gheto, Yetu Afrika, Mazulia, Taro, Msimba, Kikoboba, Mamoyo rangers, Kanseli(KDC), Magomeni stars, Kilosa Estate,nk.
kwakina Ally Shombe?Hongera Chiwaso,wengi wazaliwa wa hapo,nami miaka ya 80 nilikuwa nikiishi kule nguzo sita kwa binti Konyaki, baadaye tuliamia hapo jirani na uwanja wa Jamuhuri ni mtoto wa armaarufu Mzee Shombe(r.i.p) Wilaya yetu,ni ya miaka mingi mno imedumaa sana wakati wilaya nyingine zimishapandishwa adhi!Wana Kls kwa sasa napatikana kanda ya Ziwa kwa masuala ya uvuvi na madini(dhahabu)nione nitakupokea.Hapo mtendeni nimepotezana na mwanangu wa kiume, si unajua tena mambo ya ujana, tuwasiliane 0789554955.