Jason Bourne alisema ndani ya masaa 48 atatupa habari ya kilichojiri mara baada kuugua kwa Mwakyembe.Alidai atakuja na kile alichokiita "Taarifa za uchunguzi".Sasa simwoni tena na pia nadhani masaa hayo yameshapita sasa.
Habari ndugu Zangu wana JF,
Ninawiwa kufahamu hali ya Mh. Mwakyembe huko India!
Please mwenye lolote kuhusu hali yake hebu atujuze hapa Jamvini.
YEGO! lukansola, wakondya go!Ndugu hapa si mahali pa kuomba kufamahamishwa habari, kama ukiona hakuna habari unayotaka kusikia kuwa mpole tu, kwani habari zote unazosoma hapa huwa unaziomba? yani badala ya kuleta habari unaanzisha thread kwa ajili ya kuomba habari acha hizo bana.
Halafu nimekumbuka bora niseme kabisa, unakuta mtu anakuja na habari eti ooohh, jamani nimesikia hiki au kile mwenye taarifa zaidi atujuze.
wenye tabia kama hizo acheni mara moja.
pamoja mkuu, not personal ni mtazamo wangu tu.
YEGO! lukansola, wakondya go!
Muuaji kabisa,MBWA WEE..!angetabiri nini labda angetabiri kwa kushirikiana na LTK ili kuhalalisha vifo vya wapiganaji wetu, afadhali hata kafa coz uwepo wake ulikuwa ni disturbance kwa Taifa. Naamini atkuwa motoni tu hana cha maana alichofanya hapa duniani zaidi ya kuchonganisha watu na kuwadhulumu watanzania nae ni miongoni mwa mafisadi.
Mkuu una hakika, tabanaisha source pls.hali yake ni mbaya sana ...tia maji tia maji
we umelifanyia nini TAIFA lako?angetabiri nini labda angetabiri kwa kushirikiana na LTK ili kuhalalisha vifo vya wapiganaji wetu, afadhali hata kafa coz uwepo wake ulikuwa ni disturbance kwa Taifa. Naamini atkuwa motoni tu hana cha maana alichofanya hapa duniani zaidi ya kuchonganisha watu na kuwadhulumu watanzania nae ni miongoni mwa mafisadi.
Jason Bourne alisema ndani ya masaa 48 atatupa habari ya kilichojiri mara baada kuugua kwa Mwakyembe.Alidai atakuja na kile alichokiita "Taarifa za uchunguzi".Sasa simwoni tena na pia nadhani masaa hayo yameshapita sasa.
pengine hajaiona ndo maana ameuliza
Umewasiliana na Mungu akakwambia hivyo?Namashaka kama atarud mzima mybe ktk sanduku
Umewasiliana na Mungu akakwambia hivyo?
Taifa linapita kwenye kipindi kigumu tangu kifo cha shekhe Yahya Hussein mkazi wa pale Mwembechai, mganga na shekhe wetu ambae kwa miaka mingi alitumika kama kiona mbali cha Taifa. Haya ya kina Mwakyembe angekua hai angekua tayari kaisha yatabiri na kuyatolea muongozo, na asingeacha kuwapa kinga wanaccm wenzake.
Yego oliyo go?? magambo?