Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Habari zenu wana JF, Rafiki yangu aliyeangukiwa na kitu kizito kichwani hali yake ni taabani. Kwa hospito wanatuambia kuwa ameingia kwenye Coma Daktari anaendelea kwa kusema huenda akakaa kwenye hiyo hali kwa muda mfupi wa wiki au hata muda mrefu wa hadi mwaka mzima. Ingawa ukimtizama anakosesha matumaini, lakini unaambiwa hapo alipo ana experience uhai
Mnaojua kuhusu hii kitu kujeni hapa
Je, kuna maisha (Realm) ndani ya Coma?
Mnaojua kuhusu hii kitu kujeni hapa
Je, kuna maisha (Realm) ndani ya Coma?