Rais Samia situka, vifo vya watoto na wajawazito ni kama kiama sasa. Sifahamu iwapo ni hali ya kimabadiliko ya hali hewa

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
1,939
4,122
Je, ni mazoea na uzembe unaofanyika sector ya afya?

Kuna kitu kimeachwa? Ambacho kilisaidia huko nyuma kuokoa maisha ya mtoto na wajawazito?

Je, Ni mabadiriko ya hali ya hewa ambayo inahitaji uchunguzi wa haraka kubaini ni nini chanzo cha vifo hivi kwa sasa?

Mh waziri wa Afya, Embu tunaomba Watanzania mfanyie uchunguzi wa haraka kuhusu hali iliyopo sasa kwa vifo vya watoto na wajawazito!

Mungu ibariki TANZANIA na uwabariki viongozi wake
 
Twende polepole,unapozungumzia vifo vya wazazi na watoto unazungumzia sayansi,na sio siasa,enhe Kwa data zako:-
1. Vifo vimeongezeka?,kwa asilimia ipi au namba ipi?
2. Kuwa zamani(ipi?),vifo havikuepo?,kama vimeongezeka,jibu swali namba Moja
3. Huko nyuma kupi?,unapozungumzia hakukua na vifo?,ama vilikua vichache,....jibu swali namba moja pia kama ni kweli

Mtazamo wako unaweza kua kweli,lakini mtazamo wako sio sayansi na sio sheria,endapo tu hauna data za kusindikiza cha unayoyasema
 
Tena yeye kama mama matarajio ya watu kwa yeye kuleta mapinduzi ktk idara hiyo ya uzazi salama Yaani kwa mama Mjamzito na Mtoto ni makubwa sana.
 
Ktk maeneo ambayo anaweza kufanya jambo au mambo na kuacha alama (Lagacy) ni kwenye eneo hilo la Uzazi salama kuboresha huduma na kuhakikisha usalama wa mama Mjamzito na Mtoto vinabaki historia.

Of which inawezekana nia ikiwepo.
 
Back
Top Bottom