Update ya askari wa JWTZ aliyeshushiwa kipigo

Update ya askari wa JWTZ aliyeshushiwa kipigo

safi sana afande.
Katumia akili na busara.
Kuna baadhi ya askari Wanajiona wababe na watemi.
HAO NDO WANASABABISHA WANANCHI TUWACHUKIE ASKARI.
Kuna mmoja anakaa mbweni kule jeshini.
Alimchukua boda boda.akampeleka mpaka kule.akamwambia nisubiri nakuja.
akaingia ndani.
bodaboda alisubiri mpaka akaona kizunguzungu. Hajatoka kumpa hela yake.akaondoka kinyoonge
 
Bodaboda Ni Kikundi Tulivu Na Kinafanya Kazi Zao Kwa Amani Tu. Lakini Ni Vikundi Hatari Sana Kujichukulia Sheria Mkononi Na Kufanya Uhalifu. Wengi Wao Ama Walikuwa Vibaka Au Majambazi Au Shughuli Zingine Tata, Ndiyo Maana Huwa Hawana Huruma Kumfanyia Uhalifu Mtu Anayejiingiza Vibaya Kwenye Anga Zao. Akigongwa Bodaboda Kwa Bahati Mbaya Hawachelewi Kulipiza Kisasi Palepale Mara Mbili Yake. Wamekaa Mkao Wa Kihunihuni Tu. Bodaboda Ni Mojawapo Ya Biashara Ya Kihuni Mjini. Ina Mbilinge Nyingi Barabarani Kama Kuchomekeana Na Kuhatarisha Usalama Barabarani, Hawajali Zebra Na Alama Zingine Za Maonyo Barabarani. Ni Kero Tupu Barabarani
Umeongea kweli.
Kuna wakati narudi usiku saa saba.
Uwa najiuliza bila hawa boda boda ningerudi vipi home? Nawashangaa wanaowaua.
Jamaa wanasaidia Sanaaa.
 
Wandugu habari,

Juzi nilileta taarifa kuhusiana na mwanajeshi wa jwtZ kupewa kichapo kikali na vijana wa bodaboda punde baada ya kumdhulumu yule kijana 1500 tu ambayo ilikuwa ni kwaajili ya malipo ya huyo boda kwa hiyo huduma.

Sasa jana inasemekana kiongozi wa kambi ya mafinga mwenye cheo cha luteni(jina halijafahamika) alikwenda kituo cha polisi mafinga kwaajili ya kuzungumza na mkuu wa polisi mafinga(OCD) ambapo pia alimshukuru kamanda huyo kwa kuwa police waliwahi mapema kumuokoa huyo kijana kwasababu bila hivyo angekuwa ni hayati.Katika mazungumzo hayo,inasemekana yule luteni amefedheheka sana na kitendo kilichotendwa na askari wake kwa kufanya utovu wa nidhamu kudhulumu shillingi 1500 kwa raia kwani kwa namna moja anachafua sifa ya jeshi la wananchi(JWTZ) lakini amesema askari huyo ambaye ni private atahojiwa zaidi hali yake kimwili ikitengemaa kwani bado yupo nyumbani akiugulia na uchunguzi unafanyika ikibainika kosa ni lake sheria za kiuaskari zitafwatwa.

Source:ebony

MY TAKE:sasa nimeamini hii awamu nyingine na zama zimebadilika,mimi nilifikiri wangekwenda kulipiza kisasi kwa bodaboda wote badala yake kaenda police kisheria Zaidi ndio kwanza anasema anafanya UCHUNGUZI.kweli sasa uonevu umekwisha
Bodaboda kwa sasa ni jeshi kubwa sana na la kuogopwa na inatakiwa liangaliwe kwa jicho la tatu kwa jinsi wanavyo jichukulia sharia mkononi,mgonge bodaboda hata kama kosa lake utakiona cha moto,na mpaka wajeda wananywe hii sasa hatari.
 
Wandugu habari,

Juzi nilileta taarifa kuhusiana na mwanajeshi wa jwtZ kupewa kichapo kikali na vijana wa bodaboda punde baada ya kumdhulumu yule kijana 1500 tu ambayo ilikuwa ni kwaajili ya malipo ya huyo boda kwa hiyo huduma.

Sasa jana inasemekana kiongozi wa kambi ya mafinga mwenye cheo cha luteni(jina halijafahamika) alikwenda kituo cha polisi mafinga kwaajili ya kuzungumza na mkuu wa polisi mafinga(OCD) ambapo pia alimshukuru kamanda huyo kwa kuwa police waliwahi mapema kumuokoa huyo kijana kwasababu bila hivyo angekuwa ni hayati.Katika mazungumzo hayo,inasemekana yule luteni amefedheheka sana na kitendo kilichotendwa na askari wake kwa kufanya utovu wa nidhamu kudhulumu shillingi 1500 kwa raia kwani kwa namna moja anachafua sifa ya jeshi la wananchi(JWTZ) lakini amesema askari huyo ambaye ni private atahojiwa zaidi hali yake kimwili ikitengemaa kwani bado yupo nyumbani akiugulia na uchunguzi unafanyika ikibainika kosa ni lake sheria za kiuaskari zitafwatwa.

Source:ebony

MY TAKE:sasa nimeamini hii awamu nyingine na zama zimebadilika,mimi nilifikiri wangekwenda kulipiza kisasi kwa bodaboda wote badala yake kaenda police kisheria Zaidi ndio kwanza anasema anafanya UCHUNGUZI.kweli sasa uonevu umekwisha
Kwani hao bodaboda ni wanachadema au kafu?
 
Wandugu habari,

Juzi nilileta taarifa kuhusiana na mwanajeshi wa jwtZ kupewa kichapo kikali na vijana wa bodaboda punde baada ya kumdhulumu yule kijana 1500 tu ambayo ilikuwa ni kwaajili ya malipo ya huyo boda kwa hiyo huduma.

Sasa jana inasemekana kiongozi wa kambi ya mafinga mwenye cheo cha luteni(jina halijafahamika) alikwenda kituo cha polisi mafinga kwaajili ya kuzungumza na mkuu wa polisi mafinga(OCD) ambapo pia alimshukuru kamanda huyo kwa kuwa police waliwahi mapema kumuokoa huyo kijana kwasababu bila hivyo angekuwa ni hayati.Katika mazungumzo hayo,inasemekana yule luteni amefedheheka sana na kitendo kilichotendwa na askari wake kwa kufanya utovu wa nidhamu kudhulumu shillingi 1500 kwa raia kwani kwa namna moja anachafua sifa ya jeshi la wananchi(JWTZ) lakini amesema askari huyo ambaye ni private atahojiwa zaidi hali yake kimwili ikitengemaa kwani bado yupo nyumbani akiugulia na uchunguzi unafanyika ikibainika kosa ni lake sheria za kiuaskari zitafwatwa.

Source:ebony

MY TAKE:sasa nimeamini hii awamu nyingine na zama zimebadilika,mimi nilifikiri wangekwenda kulipiza kisasi kwa bodaboda wote badala yake kaenda police kisheria Zaidi ndio kwanza anasema anafanya UCHUNGUZI.kweli sasa uonevu umekwisha
ASKARI WETU KIPINDI HIKI WANAFANYA KAZI KWA WELEDI MKUBWA SANA, LAKINI TUSIWACHOKOZE SASA!
 
Nachokiona hapa bodaboda hawatakubali kumpakia mjeda kwenda kambini kwa sababu ya kuhofia usalama wao, wajeda watapata tabu sana ya usafiri
 
Jwtz hawajawahi kuniangusha nyie ndio moyo wa taifa sio wale shoga zao chadema
 
Hawa wajeda wanajionaga wababe Sana
vipi waliishawahi kukukuchukulia mke? au umekaririshwa kuwa huwa wanajiona? kwa ufahamu wangu hakuna watu wastaarabu na tunaoshirikiana nao mtaani km wajenda, lkn sio kisa mnashikiriana uanze kuonesha dharau hapo utaona kweli wanajiona.
 
Siku hiz mambo ya kupiga raia hovyo yanapungua japo bado yapo ila sio kama zamani! Mambo yamebadilika kiasi, ila ingekuea zamani hao bodaboda wangepata tabu sana
Elimu elimu elimu
 
Mkuu, hakuna kiongozi wa Kambi ya JWTZ Tanzania nzima ambaye ni Luteni

Mzee Tupatupa
Umeelewa vibaya bwana mdogo.nimesema kiongozi mwenye cheo cha luteni kutoka kambi ya mafinga
 
Kwa akili yako ya mende unadhani yameisha? Na ni kweli alidhurumu MANA nyie hamueleweki, na mamlaka ya kupiga hao bodaboda walitoa wapi? Je nao wakipigwa watalalama?
 
Nadhani wamenyooka sasa. Hii nchi sasa ina muelekeo mzuri..mpaka sisimizi tunanyooka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom