Update ya askari wa JWTZ aliyeshushiwa kipigo

Update ya askari wa JWTZ aliyeshushiwa kipigo

Bodaboda Ni Kikundi Tulivu Na Kinafanya Kazi Zao Kwa Amani Tu. Lakini Ni Vikundi Hatari Sana Kujichukulia Sheria Mkononi Na Kufanya Uhalifu. Wengi Wao Ama Walikuwa Vibaka Au Majambazi Au Shughuli Zingine Tata, Ndiyo Maana Huwa Hawana Huruma Kumfanyia Uhalifu Mtu Anayejiingiza Vibaya Kwenye Anga Zao. Akigongwa Bodaboda Kwa Bahati Mbaya Hawachelewi Kulipiza Kisasi Palepale Mara Mbili Yake. Wamekaa Mkao Wa Kihunihuni Tu. Bodaboda Ni Mojawapo Ya Biashara Ya Kihuni Mjini. Ina Mbilinge Nyingi Barabarani Kama Kuchomekeana Na Kuhatarisha Usalama Barabarani, Hawajali Zebra Na Alama Zingine Za Maonyo Barabarani. Ni Kero Tupu Barabarani
 
Ni Busara Tu Imetumika Kuzuwia Maafa Yasiyo Na Ulazima Wa Kutokea, Vinginevyo Hao Bodaboda Wangepaswa Kupata Kichapo Ili Kuweka Heshima Kwa Jeshi
 
Ni Busara Tu Imetumika Kuzuwia Maafa Yasiyo Na Ulazima Wa Kutokea, Vinginevyo Hao Bodaboda Wangepaswa Kupata Kichapo Ili Kuweka Heshima Kwa Jeshi
 
Kujichukulia sheria mikononi haifai, watafutwe hao wananchi waliomshambulia mpiganaji. Hata kama ujana ulimsababisha akosee wasingestahili kumshambulia, walitakiwa wafuate taratibu za kisheria. Wakati wanajeshi wanaenda kumshugulikia kijana wao kwa taratibu za kinidhamu, Polisi wana wajibu wa kuwakamata na kuwafikisha mbele ya sheria wote waliohusika kumshambulia.
 
Kiongozi ana busara sana huyo.

Nafikiri wanajeshi wengine watajifunza hapa, sio kutumia ubabe kila sehemu
Hata mimi nikadhani wangekwenda kuwafanyia fujo,kumbe smtmz huwa wanajielewa hawa
 
Huyo Kamanda Wa Jeshi Hakutaka Makubwa, Vinginevyo Bodaboda Wangeipata Fresh Maana Wanajifanya Wajanja Sana Kwa Kuchangia Mtu. Bodaboda Ni Wa Kuangalia Sana Kwa Jicho La Tatu Maana Ni Kikundi Sensitive Sana Kutekeleza Uhalifu Na Kujichukulia Sheria Mkononi
Mkuu kaangalia ajira yake ujue,angewatuma kulipiza angekuwa anauza mkaa mtaan saa hizi,pili katazama na kosa lenyewe na kaona mkorofi ni askari wake
 
Heko kwa luteni tunahitaji wajeda kama hawa wanaoelewa kwamba jeshi letu ni taasisi inayosimamia haki na misingi ya Sheria

Sio wale wengine wavuta bangi wanao Dhani kuwa ukivaa bakabaka basi wewe upo juu sheria na utaratibu uliowekwa .

Akipona na ma MP wamshughulikie
 
Kukosekana jf sku mbili tu kumbe kuna mjeda kapewa kichapo? Ngoja nikae week pengne Nabii nae atapewa kichapo na madereva wa uber.
Ndiyo mkuu,alidhulumu pesa ya mtu kwa makusudi
 
THEY WILL HIT BACK,JIHADHARINI IWE NURUNI AU GIZANI, WALIOMPIGA WATOWEKE ENEO HILO
 
Mkuu, hakuna kiongozi wa Kambi ya JWTZ Tanzania nzima ambaye ni Luteni

Mzee Tupatupa
Labda alitaka kusema Luteni Kanali. Hajui tofauti kubwa iliyopo katika vyeo hivyo viwili.
Msamehe bure ndio elimu yetu hiyo mnayojisifia ccm kuwa ya bure, kumbe bure kweli
 
Hapo kesi haijaisha naona
Tulijua watapata kichapo nao
Lakini nafikiri sasa itaenda kisheria zaidi na wahusika wasifurahie sana kwani nao watakamatwa na kwenda kujibu kwanini walichukua sheria mkononi

Nasubiri mrejesho wa episode 3
 
Katika mazungumzo hayo,inasemekana yule luteni amefedheheka sana na kitendo kilichotendwa na askari wake kwa kufanya utovu wa nidhamu kudhulumu shillingi 1500 kwa raia kwani kwa namna moja anachafua sifa ya jeshi la wananchi(JWTZ) lakini amesema askari huyo ambaye ni private atahojiwa zaidi hali yake kimwili ikitengemaa


Ni katika awamu hii, lakini ingekuwa zile za wakati ule hicho kijiwe cha bodaboda kingefutika siku ileile ya tukio
 
Huyo Kamanda Wa Jeshi Hakutaka Makubwa, Vinginevyo Bodaboda Wangeipata Fresh Maana Wanajifanya Wajanja Sana Kwa Kuchangia Mtu. Bodaboda Ni Wa Kuangalia Sana Kwa Jicho La Tatu Maana Ni Kikundi Sensitive Sana Kutekeleza Uhalifu Na Kujichukulia Sheria Mkononi
ni kweli lakini na askali kwa upande wao huwa ni wababe na ubabe usio na tija kwani umepanda boda unastahili kulipa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom