KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
AISEEE!Litakuja kudumbukia na kupotelea bahari ya hindi wasije wakasema hatujawaambia.
Nendeni mkamzike Magufuli acheni kumzungusha.
Wanzazibar hawataki kumuona.
Hebu sema tena.
Ikitokea la kutokea na ikawa hivyo!
Itabidi tubadili kabisa jina la nchi yetu.