Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Jamani wasukuma wameumiaje?..hahaha ..yaan wameumia mnoMkuu Mwanza ni zaidi ya uijuavyo.. The colour of our country.
Jamani wasukuma wameumiaje?..hahaha ..yaan wameumia mnoMkuu Mwanza ni zaidi ya uijuavyo.. The colour of our country.
Eti nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio mjuu bado utawala huu ni mauza uza. Sasa visiwani anapelekwa kufanya nini?
Huyu azikwe leo leo mtasababisha afufuke
Zbar walio wengi ni Waislamu na huwa hawaagi. Leo hii Magu ndio WA kuhangaishwa hivyo? . Tuombe alazwe salama maana maisha ya MTU huwa yanamfuata hata akiondoka dunia hii.😔😔😔Visiwani walishamzika maalim seif inatosha
Ile public holiday nayo inahamia tarehe 26? Wanakurupuka sana hawa watuAliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli atazikwa nyumbani kwao Chato Machi 26, tofauti na tarehe iliyotajwa awali ambayo ilikuwa Machi 25.
Mwili wa Rais Magufuli utaagwa na wananchi wa Dar, Machi 20 na 21 Uwanja wa Uhuru kabla ya kusafirishwa kwenda Dodoma ambapo utaagwa Machi 22.
Baada ya Dodoma mwili utapelekwa Zanzibar ambao watapata nafasi ya kuaga Machi 23. Kisha utaelekea Mwanza ambapo wataaga Machi 24.
Ukitoka Mwanza, mwili wa Rais Magufuli utapelekwa Chato ambapo utaagwa Machi 25. Kisha Machi 26 itakuwa siku ya Mazishi huko Chato Mkoani Geita.
Hapana ni kutafuta aibuAisee, huku ni kukaribisha matatizo tu.
Bora wangemleta Bukoba na Hai
Huu utaratibu wa kutembeza jeneza kama bidhaa, ni wa hovyobkabisa. Hiki kinachofanyika ni waliowazima wanamuaga marehemu au marehemu anawaaga walio hai?
Kawaida ni walio hai kumfuata marehemu kumuaga, siyo marehemu kumwendea kila mmoja aliko.
Huku ni kuwasumbua wafiwa. Hatukufanya hivyo kwa Karume, Sokoine, Mkapa wala Mwalimu Nyerere.
Dahhh!!!watuNdio mjuu bado utawala huu ni mauza uza. Sasa visiwani anapelekwa kufanya nini?
Huyu azikwe leo leo mtasababisha afufuke.
Acha kabisaa!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mi acha nicheke, hakika JF mna vitukoo[emoji119][emoji119][emoji119]
Umefikia kiwango kibaya kabisa cha chuki.Chuki humla yeye aliyeibeba, bali wema humneemesha yeye aliyeibeba.Ndio mjuu bado utawala huu ni mauza uza. Sasa visiwani anapelekwa kufanya nini?
Huyu azikwe leo leo mtasababisha afufuke.
Bro huyu hafufuki hata iweje.... Hata wakimzika mwakaniLitakuja kudumbukia na kupotelea bahari ya hindi wasije wakasema hatujawaambia.
Nendeni mkamzike Magufuli acheni kumzungusha.
Wanzazibar hawataki kumuona.
Tumia ubongo acha mzuka. Mbona hatukuona haya kwa hayati Nyerere na Mkapa ?
Na tutahitaji lipoti nani amemuua maana,,, nduhu bhamulagagaJamani wasukuma wameumiaje?..hahaha ..yaan wameumia mno
Duh! Mbona mnausumbua mwili wa marehemu hivyo, yani mwili mnaukimbiza kama mwenge?Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli atazikwa nyumbani kwao Chato Machi 26, tofauti na tarehe iliyotajwa awali ambayo ilikuwa Machi 25.
Mwili wa Rais Magufuli utaagwa na wananchi wa Dar, Machi 20 na 21 Uwanja wa Uhuru kabla ya kusafirishwa kwenda Dodoma ambapo utaagwa Machi 22.
Baada ya Dodoma mwili utapelekwa Zanzibar ambao watapata nafasi ya kuaga Machi 23. Kisha utaelekea Mwanza ambapo wataaga Machi 24.
Ukitoka Mwanza, mwili wa Rais Magufuli utapelekwa Chato ambapo utaagwa Machi 25. Kisha Machi 26 itakuwa siku ya Mazishi huko Chato Mkoani Geita.