mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,775
- 2,198
Zanzibar ni dk 90 tu kufika Dar. Wangekuja Dar. Kama ni hivyo na sisi watu was Mbeya tutaomba.Duuuuh!
Zanzibar ni dk 90 tu kufika Dar. Wangekuja Dar. Kama ni hivyo na sisi watu was Mbeya tutaomba.Duuuuh!
Tumia ubongo acha mzuka. Mbona hatukuona haya kwa hayati Nyerere na Mkapa ?Zanzibar pia ni sehemu ya JMT, fair decision.
Kama kweli corona ipo,then hii ni kusambaza kwa maksudi.Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli atazikwa nyumbani kwao Chato Machi 26, tofauti na tarehe iliyotajwa awali ambayo ilikuwa Machi 25.
Mwili wa Rais Magufuli utaagwa na wananchi wa Dar, Machi 20 na 21 Uwanja wa Uhuru kabla ya kusafirishwa kwenda Dodoma ambapo utaagwa Machi 22.
Baada ya Dodoma mwili utapelekwa Zanzibar ambao watapata nafasi ya kuaga Machi 23. Kisha utaelekea Mwanza ambapo wataaga Machi 24.
Ukitoka Mwanza, mwili wa Rais Magufuli utapelekwa Chato ambapo utaagwa Machi 25. Kisha Machi 26 itakuwa siku ya Mazishi huko Chato Mkoani Geita.
Good argument. Hii issue imewakuta ghafla hawakujipanga, hata lile tangazo la usiku wa saa tano nina wasiwasi nalo kama lilipangwa muda ule.Ilisahaulika?
VP alisema nchi itaomboleza kwa siku 14
Mwenezi akasema chama kitaomboleza Siku 21
Raisi akasema nchi itaomboleza siku 21
Raisi akasema Hayati Jemedari atazikwa target 25/03
Siku nano kasema kuwa atazikwa tarehe 26/03
VP alisema ugonjwa uliomuondoa mwamba alikuwa nao kwa miaka 10.
Rekodi zinasema alifanyia upasuaji wa moyo akiwa anasoma uzamili, ambapo ni kabila ya 1995.
Ni mwanzo wa namna gani huu?
Mkapa na Nyerere sio Katiba ya nchi, kila utawala na maamuzi yake, usiishi kwa kukariri halafu unajidai kutumia ubongo.Tumia ubongo acha mzuka. Mbona hatukuona haya kwa hayati Nyerere na Mkapa ?
Kuhusu ugonjwa inawezekana Raisi aliyepita hakutaka taarifa zake kuhusu ugonjwa zijulikane? Na mjane wa raisi alikuwa kachanganyikiwa kuhusu taarifa za msiba wa mumewe? Cha msingi tushikamane kama Taifa kipindi hiki.Ilisahaulika?
VP alisema nchi itaomboleza kwa siku 14
Mwenezi akasema chama kitaomboleza Siku 21
Raisi akasema nchi itaomboleza siku 21
Raisi akasema Hayati Jemedari atazikwa target 25/03
Siku nano kasema kuwa atazikwa tarehe 26/03
VP alisema ugonjwa uliomuondoa mwamba alikuwa nao kwa miaka 10.
Rekodi zinasema alifanyia upasuaji wa moyo akiwa anasoma uzamili, ambapo ni kabila ya 1995.
Ni mwanzo wa namna gani huu?
Stupid?Anapelekwa Zanzibar kufanya nini? any way wawe makini asije akafufuka bure huyo azikwe haraka sana
Inawezekana. Pengine tungejua kama hakuna utaratibu maalumu wa kufuata linapotokea jambo kama hill ili tuuanzishe kuliko kufanya hayo makosa kwenye level ile.Good argument. Hii issue imewakuta ghafla hawakujipanga, hata lile tangazo la usiku wa saa tano nina wasiwasi nalo kama lilipangwa muda ule.
Hata mkiamua kumzungusha tanzania nzima lakini haitabadilisha maana, atabaki kuitwa marehemu. Ndio maana waislam humsitiri mtu mara tu anaporehemikaAliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli atazikwa nyumbani kwao Chato Machi 26, tofauti na tarehe iliyotajwa awali ambayo ilikuwa Machi 25.
Mwili wa Rais Magufuli utaagwa na wananchi wa Dar, Machi 20 na 21 Uwanja wa Uhuru kabla ya kusafirishwa kwenda Dodoma ambapo utaagwa Machi 22.
Baada ya Dodoma mwili utapelekwa Zanzibar ambao watapata nafasi ya kuaga Machi 23. Kisha utaelekea Mwanza ambapo wataaga Machi 24.
Ukitoka Mwanza, mwili wa Rais Magufuli utapelekwa Chato ambapo utaagwa Machi 25. Kisha Machi 26 itakuwa siku ya Mazishi huko Chato Mkoani Geita.