Hivi kwanini watanzania tusifuate mfano wa wananchi wa Misri,Tunisia na Libya?
Kuna haja gani ya kuendelea kuwavumilia hawa watawala wanaofanana na madikteta?
Hivi kwanini watanzania tusifuate mfano wa wananchi wa Misri,Tunisia na Libya?
Kuna haja gani ya kuendelea kuwavumilia hawa watawala wanaofanana na madikteta?
mwisho wa ubaya ni aibu the hague ipo kwa ajili ya watu kama JK na Said Mwema.hivi tangu lini mkuu wa mkoa anakuwa mpelelezi,jaani watu kama wakina RAMA walio husika na utekaji wa kina kibanda bado wapo huru,mtetezi wa raia anaswekwa rumande,hata mandela ali wekwa kizuizini miaka 27 kwa makosa ya ugaidi wa kubambikwa,yote yana mwisho watanzania
mimi pia nahisi kuna mtu ananifuata
Kwanini msisubili muda ili mtumie democracy mkuu?Hivi kwanini watanzania tusifuate mfano wa wananchi wa Misri,Tunisia na Libya?
Kuna haja gani ya kuendelea kuwavumilia hawa watawala wanaofanana na madikteta?
Hivi kwanini watanzania tusifuate mfano wa wananchi wa Misri,Tunisia na Libya?
Kuna haja gani ya kuendelea kuwavumilia hawa watawala wanaofanana na madikteta?
Mtaweweseka sana kwa JK. Wapo waliodiriki kusema kuwa yeye ni dhaifu na sasa wanathibitishiwa kuwa si dhaifu. Alikuwa anawalea tu lakini wao hawana fadhila
Point ni ipi hiyo unayotaka kumchagulia kuchangia. Mkuu huwezi kuweka bandiko hapa JF na kuwa 'SELECTIVE' kwa yale unayopenda watu wayaongee na kuchangia. This is JF. Hakuna kutishana nyani au Nyani ngabu kama miafrika tulivyo.Mkuu,
Kama hauna Solid Points za Kuchangia Huu uzi nakushauri uwe "Reader Only".
Wengine tumeamua Ku Comply na JF Rules so usinitafutie Ban.
PS, you will be in My Ignored list soon.
Hivi kwanini watanzania tusifuate mfano wa wananchi wa Misri,Tunisia na Libya?
Kuna haja gani ya kuendelea kuwavumilia hawa watawala wanaofanana na madikteta?
ya kwako imeishia wapi ? Chooni au ?
Mbona unauliza jibu. Hapo kamanda halisi ni RPC. Lema ni gaidi tu na jambazi
Mbona ni Godbless Lema tu kila mara? Chadema Ina wabunge 23 wa kuchaguliwa lakini hawakamatwi isipokuwa Lema! Picha ya kuwa mbunge lakini ni Raia . Ni lazima atii sheria na kuwa mfano kwa wananchi waliomchagua. Hauko juu ya sheria.
Isingekuwa wamarekani weusi kupinga ubaguzi mpaka leo wangukuwa ni nyani ndani ya USA, isingekuwa south african black kupinga ubaguzi leo hii wangekuwa watumwa wa kuwatumikia ma bwana mkubwa. Hakuna mabadiliko yasiyo husisha harakati. Njia ya maelewano tanzania naona inazidi kupungua, ni bora watu zikapigwa kwanza ili tutiane adabu ili tuweze kuheshimu sheria, huwezi ukawa na utawala unaovunja sheria ukadumu madarakani lazima watu wataupindua tu, wewe kama ni mmoa ya watu wa serikali ujue hilo linakuja!tilia wewe usiyo jua njia umewahi kufika nchi zenye vita au? waulize kenya 2007 wao wenyewe hawataki kurudia tena hali ile....wanasiasa wote lao ni moja tu..
cha msingi ni kwamba haki itendeke kwa mheshimiwa LEMA,MAHAKAMA NDIKO HAKI ITAPATIKANA.
Badala ya mimi kutafuta hela niisaidie familia yangu eti nikaandamane . Huu ni upuuzii uliotukuka . Wajinga ndio wafuate mawazo yako .