Watz amkeni sasa tuko vitani, hii ni vita ya haki juu ya udhalimu wa serikali ya ccm inayongozwa na mapunguani nashindwa hata kupatia jina linalo faa ila najua ki2 kimoja hawa majamaa ni wauaji tena wameshajua fika kwamba mwisho wao umefika na tena,wanatudharau sana kwa kila namna.
Ukweli ni kwamba Lema amekamatwa kwa agizo la ikulu na siyo vinginevyo na walewale wauaji na magenge ya kihuni yanaongozwa na ccm ndio sasa yako kazini ila ukweli, utaibainika mchana kweupe, Polisi sasa tunajua rasmi kuwa nyie ni tawi rasmi lA CCM. Ndugu vijana amkeni popote pale mlipo hii sio vita chadema na ccm au Lema na RC wa Arusha bali ni vita vya wanyonge na tabaka la kidhalimu linaongozwa na ccm chini ya ufadhili wa magaidi kama JANGILI MKUU KINANA,NAPE, MWIGULU NCHEMBA NA KAMBI YA LOWASSA.
SASA TUNAJUA KWAMBA TUKO KTK VITA HII YA UDHALIMU YOTE HAYO NI MAAGIZO YA IKULU NA OFISI YA LUMUMBA PALE DSM.
JAMBO MOJA LA FARAJA NI KWAMBA UKOMBOZI UMEKARIBIA.
Mh. lema usiogope chochote ujue ww ndio ishara ya kupigania haki na utetezi kama STEKE BIKO,MARTIN LITHER JR NA MANDELA.
"RC MULONGO, RPC ARUSHA NA KIKWETE NYIE ENDEENI NA MIKAKATI YENU DAIMA MANA MWANGA WA MATUMAINI IMEANZA KUCHOMOZA KWA WATZ WOTE".