Mbona unauliza jibu. Hapo kamanda halisi ni RPC. Lema ni gaidi tu na jambazikamanda lema amekutana kamanda RPC nani kamanda kati ya lema na RPC
Wafata mkumbo wa CDM hamuwezi kunielewa hata siku mmoja maana vichwa vyenu vimejaa viroba .
Sina uoga wowote ila mimi sio bendera fuata upepo kama wewe .
Mkuu, tatizo lako unaandika kitu usichokijua na unaendekeza ushabiki tu. sisi tuliokuwepo eneo la tukio tunathiitisha kuwa lema anastahili kuchukuliwa hatua kali za kisheriaWatanzania sio wajinga tena me naamini kesi ikifika mahakani itafutwa mapema sana huyu Lema ni Mbunge wa wananchi kwenda kwenye vulugu ni moja ya kazi yake me naamini Lema kinachomponza ni kauli ya bungeni aliitoka Mungu atamsimamia kwavile alisimamia haki
Hiyo ni sala ya shetani na mungu hawezi kukusikiliza hata chembe.. Labda kama ni mungu wa machame na kibosho tu. si mungu aliyeumba mbingu na ardhiSitalia sbb nahisi kuonewa,sitanyamaza kwa
hofu ya kukanyagwa kichwa na buti ya
dola.maana woga wa mama na bibi yangu,hofu
ya babu na baba yangu,ndiyo unaolitesa taifa
leo...ee Mungu ikamilishe safari uliyoianzisha
moyoni mwangu.
My Out Look:
Nazidi kuyasadiki Maneno ya Rafiki yangu SSP Chuwa kuwa Tatizo sio Mulongo.
Yeye ana execute to Matakwa ya Mkulu Dhidi ya Lema.
Ile Issue ya Lema kumpa Live Mkulu kuwa analea Udini imemchoma sana Mkulu.
Wao wana Mamlaka na Fedha, Lema ana Mungu
Mungu hana urafiki na gaidi, mchochezi, mgombanishiMuda wa kuwasilisha uthibitisho wa udini wa mwenyekiti wa CCM, Jakaya Mrisho Kikwete umefika, wanachofanya ni kujaribu kila mbinu LEMA asiwasilishe ushahidi, nina wasiwasi na uhai wa kamanda Lema. Mungu amlinde
unatumia masaburi kufikiri we mtoto wa cha arusha
Mungu hana urafiki na gaidi, mchochezi, mgombanishi
Mkuu nakubaliana na habari yako isipokuwa na conclusion yako.
Lema seems to be adventurous with his mouth and he is getting more than he bargained for.
Matatizo ya Lema yanatokana na matamshi yake mwenyewe, mengine ambayo haya akili sana na hayategemewi kutoka kwa mwanasiasa,
Mwanasiasa anatakiwa kupima matamshi yake na si ila kitu anachokisikia au kukiona kubwabwaja tu.
Ujumbe unaweza kufikishwa kwa anayehusika kwa staha na kwa mbwebwe za kisiasa bila kuudhi mtu.
Kuhusu suala la kumhusisha Mungu, naona hapo umeteleza.
Wiki haijapita na Lema alijilinganisha kiuwezo katika siasa za Arusha na kudiriki kusema ni yeye au Mungu tu wanaomuweza hapo jijini Arusha.
Leo anasumbuliwa na mtu anayemuona mdogo sana Mkuu wa Mkoa.
Busara hainunuliwi na maandiko yanasema ya Kaisari mpe Kaisari(natumai asije kukasirika).
Badala ya mimi kutafuta hela niisaidie familia yangu eti nikaandamane . Huu ni upuuzii uliotukuka . Wajinga ndio wafuate mawazo yako .
Haziwezi kwisha kwa vile mnacheza mchezo mchafu na sasa mmegunsulika. Saa hizi ni kunyea debe kwa kwenda mbele. Hatuwezi kuwaachia mnatukana hovyo hovyo tu vyombo vya dolasiku za ccm na washirika wake kuishi zinahesabika,ole wenu!
No easy walk to freedomjaribu uone watakavyosigina guu lako na hapo lema na chalema yake hawatokusaidia lolote..
Mungu hana urafiki na gaidi, mchochezi, mgombanishi
Yule first lady mwalimu alimchota mpiga muziki yule wakizaire. Yule msanii akatunga wimbo wenye jina la mwalimu. Of course alikuwa bado hajawa first lady. Ushuhuda unaonyesha mwalimu akimpatia kijana zawadi keme kem hasa akienda kwenye show zake. Fastjet akiwa anakula bata mitaa mbali mbali mama akaamua kumega kijana.
Habari zikamfikia mwenye mali, bahati akawa rais na kama utani vile, familia yote ikafungwa maisha. Huyu ndie fastjet aliyeletwa kwetu na sisi wenyewe. Nakubaliana na wewe mkuu, presida ana chuki, na visasi zaidi ya Boko haram.
Naitwa mdudu , mtu mwenye kuishi kwenye nyumba pekee yenye choo ndani kwa ndani.
"KAZI YA MOYO NI NINI, KUISHI AU KUFA'' HAAHAHH napenda kuimba leo jamani. Muungano etii.
Salima ooh salima ooh. ULINIDANGANYA , NIKAKUPENDA WEWE , OOH SALIMA WANGU EEH,,,,,,