Yule first lady mwalimu alimchota mpiga muziki yule wakizaire. Yule msanii akatunga wimbo wenye jina la mwalimu. Of course alikuwa bado hajawa first lady. Ushuhuda unaonyesha mwalimu akimpatia kijana zawadi keme kem hasa akienda kwenye show zake. Fastjet akiwa anakula bata mitaa mbali mbali mama akaamua kumega kijana.
Habari zikamfikia mwenye mali, bahati akawa rais na kama utani vile, familia yote ikafungwa maisha. Huyu ndie fastjet aliyeletwa kwetu na sisi wenyewe. Nakubaliana na wewe mkuu, presida ana chuki, na visasi zaidi ya Boko haram.
Naitwa mdudu , mtu mwenye kuishi kwenye nyumba pekee yenye choo ndani kwa ndani.
"KAZI YA MOYO NI NINI, KUISHI AU KUFA'' HAAHAHH napenda kuimba leo jamani. Muungano etii.
Salima ooh salima ooh. ULINIDANGANYA , NIKAKUPENDA WEWE , OOH SALIMA WANGU EEH,,,,,,