Update: Lema kufikishwa Mahakamani Jumatatu

Update: Lema kufikishwa Mahakamani Jumatatu

Mtaweweseka sana kwa JK. Wapo waliodiriki kusema kuwa yeye ni dhaifu na sasa wanathibitishiwa kuwa si dhaifu. Alikuwa anawalea tu lakini wao hawana fadhila

JK na CCM ndio wanaoweweseka mpaka kufikia hatua ya kuajiri na kuwadhalilisha miji.tu kama wewe kuwatetea kwenye mitandao ya kijamii kwa maovu wanayotenda, shughuli ambayo hata hivyo imewawia vigumu kutokana na watanzania kuamka na kutambua haki zao, yaani hawadanganyiki.
Kuhusu udhaifu wa JK hata mwanangu wa miaka mitano anaujua, hapo hapahitajiki maelezo yoyote.
 
Kwa upumbavu wao hawakuungana na waandamanaji leohii mubarak yupo mahabusu ananyea ndoo sasa nawewe kuwa miongoni mwao sherehekea udhalimu
hatukuona yeyote kutoka familia ya hosn mbarak misri akiandamana,mawazo yako hayatushangazi!!!!!!!!
 
Badala ya mimi kutafuta hela niisaidie familia yangu eti nikaandamane . Huu ni upuuzii uliotukuka . Wajinga ndio wafuate mawazo yako .

wafutie wanao kwa kutumia nguvu nyingi na jasho huku kipato kidogo...
Huku future wanao ikiwa hatarini
 
Duuu! Hii sasa kali! Katika nchi ya 'amani' na 'utulivu' mambo haya yanatokea! Naamini kwa wale wanaosema huenda huu mpango wa mkuu baada ya kuonekana Kuwa lema anamlipua hadharani bila woga. Na pia huenda mulongo alipelekwa arusha kwa kazi 'maalum' ya kummaliza Kamanda Lema! Mungu Baba tunaomba uwaangalie watu wako wanaoonewa katika ulimwengu huu wanye dhiki,taabu na mateso mengi!
 
Rafiki Yangu SSP Chuwa Akaongeza, "CCM ni Wepesi Mno na Weupe Suala linapofika Mahakamani"

Kwa kusema hilo hakukosea kabisa. Tungoje tuone jinsi hiyo kesi itakavyoendeshwa!
 
Hivi kwanini watanzania tusifuate mfano wa wananchi wa Misri,Tunisia na Libya?

Kuna haja gani ya kuendelea kuwavumilia hawa watawala wanaofanana na madikteta?
Tena kwa nini mapinduzi yasianzie arusha dar then isambae mikoa yote? Ni nchi haina watu wenye akili? Huu ni ujinga wa hali ya juu. Ndiyo maana watu huwapindua viongozi hivi hivi.
 
Wewe na mimi katika hili ni watazamaji tu na washangiliaji.
Lakini ni dhahiri nani kashika mpini na nani kakumbatia makali.

kisu huwa kinakamatwa kwa muda tu na si wakati wote, angalia sana kama umnamtishia mwenzio kisu halafu yeye sasa ana kisu na wewe huna. Wahenga walisema kesho ndo kubwa na leo imepita.
 
'watashindana nasi lakini hawatashinda'! 'no matter hw they strugle 2 pull us down,our God wil lift us up'.....'jela ni mahali pakuishi kama sababu ni kupigania haki na kutetea wanyonge'...msife moyo makamanda.
 
Mahusiano mabovu ya lema na mkuu wa mkoa naamin kabisa kuna nyuma ya pazia sisi tushikane mashati wao wapate chao ...........never smile back to politicians...
 
Until the philosophy which holds one race superior And another Inferior is finally and permanently discredited and abandoned.

Until there no longer first class and second class citizens of any nation.
That until the basic human rights are equally guaranteed to all Without regard to race
And until the ignoble and unhappy regimes that hold our brothers in Arusha Have been toppled utterly destroyed

Peace will never be attained
 
Hujui kuwa kama system ikiwa nzuri hata hauitaji kutoa jasho ili kufanikiwa? . Jiunge na wenzako uboreshe maisha yako na ya kizazi chako.Hii ni kama uko sincere na wewe siyo imposter!

Ujumbe mzuri mkuu . Na huo ndio upumbavu wa watanzania wengi
 
Tena kwa nini mapinduzi yasianzie arusha dar then isambae mikoa yote? Ni nchi haina watu wenye akili? Huu ni ujinga wa hali ya juu. Ndiyo maana watu huwapindua viongozi hivi hivi.

tilia wewe usiyo jua njia umewahi kufika nchi zenye vita au? waulize kenya 2007 wao wenyewe hawataki kurudia tena hali ile....wanasiasa wote lao ni moja tu..
 
Mtu kama Lema anaumia kwasababu ya kutetea haki, hata Misri walipochoka waliingia mitaani, sawa wengi walikufa ila walikomboka
 
Mtaweweseka sana kwa JK. Wapo waliodiriki kusema kuwa yeye ni dhaifu na sasa wanathibitishiwa kuwa si dhaifu. Alikuwa anawalea tu lakini wao hawana fadhila
kwa hiyo mkuu unataka kuniaminisha kuwa JK kutumia majeshi anayoyaongoza kukamata raia wake wasio na hatia na kuwatesa,kuwaweka ndani,kuwang'oa kucha na meno,kuwafungulia mashitaka ya uongo,na kuwabambikizia kesi,ndo kiongozi shujaa? au ndo kigezo chako cha kumtambua kiongozi ambae sio dhaifu?
 
kamanda lema amekutana kamanda RPC nani kamanda kati ya lema na RPC

lema ni kamanda ndiyo maana huyo rpc wako anashindwa kumkabili peke yake anamtamfuta kwa defender kumi zikiwaa zimejaa mabomu na polisi tena usiku wa manane,Let our good God keep you long G.Lema,mbeleni watu hawatakumbuka nini tunakisema leo bali ni lipi tumelitenda leo,i smell the freedom
 
Mulongo=mulugo? Why? Mbona majina haya yanafananafanana? Mmmh ! Na wote wanamatatizo tatizo hivi
 
Back
Top Bottom