Upanuzi wa Barabara ya Morocco - Mwenge umelenga nini?

Hii barabara kwa hatua zinazoendelea sijui kwa nini njia za magari zimeluwa nyembamba. Halafu BRT badala ya kujenga wangeimarisha iliyopo ambayo iko hoi taabani haina efficiency kabisa wanunue mabasi mapya, wawekeze kwenye workshop ya maintanance, ni uchafu mtupu kupanda mwendokasi.

Ikiwezekana hata watafute a commited investor sio akina kisena na rizmoko matapeli
 
Umuhimu wa daraja LA salendar ulipungua au kufa kabisa Mara wizara zote zilivyohamishiwa Dodoma kutoka magogoni. Watu wachache wanaenda posta siku hizi, daladala zatosha. Tuangalie vipaumbele viko wapi.
Kwaiyo wasitishe ujenzi au unashauri vipi mkuu ?
 
Dah ila plan ya hii barabara imepitia updates nyingi hadi nikawa nafikiri ni utopolo wamefanya. Ila ninachojiuliza ni kuwa kwenye makutano ya Sam Nujoma na Bagamoyo road hizo BRT zitapitaje naa kama watapapropose flyover itakuwaje?
Na stendi ya BRT mwenge itakuwaje?
Strabag wangepata hii tenda nadhani mambo yasingekuwa hivi yalivyo
 
Usitishwe Na ulaaniwe, mipango mibovu, huku unahamia Dodoma huku unajenga njia za kuja magogoni. Ni lini tutawafikiria watu wa vijijini wanaoshindwa kuleta mazo yao sokoni?
Sawa ngoja nicheki na mama, hapa nitakupa feedback mkuu.
 
Upanuzi ule malengo yake sio BRT, kama lengo lingekuwa hilo lile daraja la juu LA waenda kwa miguu pale bondeni kuelekea tank bovu lisingejengwa vile. Lile daraja lazima ulivunje ili kujenga BRT, ujinga gani huu?
umesahau kituo cha mwendo kasi jangwa ndio bingo bahati mbaya mkuu
 
Dah ila plan ya hii barabara imepitia updates nyingi hadi nikawa nafikiri ni utopolo wamefanya. Ila ninachojiuliza ni kuwa kwenye makutano ya Sam Nujoma na Bagamoyo road hizo BRT zitapitaje naa kama watapapropose flyover itakuwaje?
Na stendi ya BRT mwenge itakuwaje?
Strabag wangepata hii tenda nadhani mambo yasingekuwa hivi yalivyo
 
Dah ila plan ya hii barabara imepitia updates nyingi hadi nikawa nafikiri ni utopolo wamefanya. Ila ninachojiuliza ni kuwa kwenye makutano ya Sam Nujoma na Bagamoyo road hizo BRT zitapitaje naa kama watapapropose flyover itakuwaje?
Na stendi ya BRT mwenge itakuwaje?
Strabag wangepata hii tenda nadhani mambo yasingekuwa hivi yalivyo
Sidhani kama kwa stage hii nia kuu ya Morocco-Mwenge ni BRT
 
Sidhani kama kwa stage hii nia kuu ya Morocco-Mwenge ni BRT
Hata mimi maana kinachoendelea kule magomeni kuelekea Ilala boma ni kile kile tu na wakati awamu ya mwisho ya BRT ilikuwa kutoka morocco kuelekea tegeta na bunju
 
Usitishwe Na ulaaniwe, mipango mibovu, huku unahamia Dodoma huku unajenga njia za kuja magogoni. Ni lini tutawafikiria watu wa vijijini wanaoshindwa kuleta mazo yao sokoni?
Kwa hiyo kwa ushauri wako ina maana tusijenge barabara dsm mpaka tumalize kujenga barabara za vijijini?
 
Kwa hiyo kwa ushauri wako ina maana tusijenge barabara dsm mpaka tumalize kujenga barabara za vijijini?
Lahasha!! Ujenzi uzingatie maeneo yenye uhitaji mkubwa Na uzalishaji, uchumi. Mfano, sio vizuri malori yanayoenda Na Na kutoka bandarini yakichelewesha Na magari ya watu wanaokwenda harusini. Kama ikiwezekana magari mengine yatafutiwe njia ya kupita ili kuyafanya magari makubwa ya mizigo hawahi yanakokwenda.
 
Lahasha!! Ujenzi uzingatie maeneo yenye uhitaji mkubwa Na uzalishaji, uchumi. Mfano, sio vizuri malori yanayoenda Na Na kutoka bandarini yakichelewesha Na magari ya watu wanaokwenda harusini. Kama ikiwezekana magari mengine yatafutiwe njia ya kupita ili kuyafanya magari makubwa ya mizigo hawahi yanakokwenda.
Haujasikia ujenzi wa Dry Port pale Kwala-Kibaha? Nadhani ni suala la muda tu haya malori ya mizigo hayatalazimika kufika bandarini na hivyo kupunguza msongamano wa magari jijini. Kama government itakuwa serious na hii dry port tatizo la msongamano wa malori kwenda bandari litapungua kama siyo kwisha kabisa.
 
Morocco/Victoria hadi Mwenge ni kipande kifupi sana kuhitajii kupanuliwa kuwa njia 8 kwakuwa kinaunganisha barabara nyembamba za Mwenge kwenda Tangi bovu na Sam nujoma ambazo ni njia NNE zote. Hivyo magari yatapita mengi na kwenda kujazana Mwenge au kutoka Mwenge na kwenda kujazana Morocco.

Barabara ile ni heri ingejengwa barabara ya Nyerere kutoka Airport kuja Dar center, au barabara ya mandera kwenda bandarini.
Weka picha sasa tujadili.
 
Hio ni njia nne kama Mwenge tanki bovu, hapo katikati ni njia ya mwendokasi ambayo pia itajengwa Mwenge -tanki bovu
Hapo alikuwa anatafuta sababu ya kumnanga Hayati ambaye kwa sasa Kila anayejiona ni mchambuzi anataka kumtupia lawama.
 
Hapo alikuwa anatafuta sababu ya kumnanga Hayati ambaye kwa sasa Kila anayejiona ni mchambuzi anataka kumtupia lawama.
Nchi inaendeshwa kitaasisi sio kama familia. "Hakuna sherehe za uhuru badala pesa za sherehe zikajenge barabara ya Morocco-Mwenge" just like that!!. Swali ni je fedha za sherehe zinatosha upanuzi wa barabara ile au utakwenda kuingilia fedha za mipango mingine?
 
Back
Top Bottom