Wasalam wana jukwaa
Moja kwa moja niende kwenye mada.. aisee hii barabara kwa watumiaji tunaoitumia ni kero kubwa sana haswa foleni zisizo na mpango.
Suluhisho ni serikali kufanya upanuzi wa njia nne kwenda Ubungo na njia nne kutoka Ubungo to Tazara haya maflyover sijui interchange hayatokuja kutatua shida ya foleni kwenye barabara hii zaidi ya sifa tu za kisiasa..
Kingine barabara hii ni moja ya kitovu cha uchumi maana inaunganisha malori yanayotoka bandari kuelekea mikoani so ili tuchocheee maendeleo hakuna budi zaidi ya kupanua barabara.
Nawasilisha.
Moja kwa moja niende kwenye mada.. aisee hii barabara kwa watumiaji tunaoitumia ni kero kubwa sana haswa foleni zisizo na mpango.
Suluhisho ni serikali kufanya upanuzi wa njia nne kwenda Ubungo na njia nne kutoka Ubungo to Tazara haya maflyover sijui interchange hayatokuja kutatua shida ya foleni kwenye barabara hii zaidi ya sifa tu za kisiasa..
Kingine barabara hii ni moja ya kitovu cha uchumi maana inaunganisha malori yanayotoka bandari kuelekea mikoani so ili tuchocheee maendeleo hakuna budi zaidi ya kupanua barabara.
Nawasilisha.