Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,237
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa, bila shaka jeshi la Polisi linahitaji kufanya upekuzi kwenye nyumba hiyo ili kukusanya ushahidi zaidi na labda kujiridhisha kama kuna magaidi wengine kwenye nyumba hiyo au la.
Ngoja tuendelee kutega sikio
Ngoja tuendelee kutega sikio