Upande wa pili wa Edward Lowassa

Upande wa pili wa Edward Lowassa

Sina tatizo na namba moja hapo juu, tatizo langu linaanzia namba mbili pale uliposema "ilimradi yana maslaha kwa taifa" hapo nina tatizo kidogo. ukiangalia tokea huko nyuma alipokuwa anasimamia kitengo cha maafa na kujinufaisha (maslahi binafsi - hapo simtofautishi na mtu anayewakwapua majeruhi wa ajali) na alipokuwa waziri mwenye dhamana ya nyumba na ardhi - madudu aliyofanya, kwa kifupi tumwamini Nyerere aliyemwona moja kwa moja kwamba hafai uongozi ngazi ya juu. anachapa kazi kweli, lakini kuelekea wapi?

Tuangalie hili la shule za kata. sikatai kwamba mapinduzi yanahitaji nguvu kubwa, lakini kitu chochote katika ngazi hiyo kinahitaji umakini wa hali ya juu. maslahi ya taifa yanakudai ufanye jambo jema ambalo linadumu na linahitaji muda mrefu kutekeleza. maslahi ya kweli ya taifa humgharimu yule anayeyasimamia. sifa ni mara chache kwenda kwake maana yanaweza kukamilika wakati yeye hayuko madarakani.

mkakati wa kweli wa kuinua elimu Tanzania haiwezekani utekelezwe kwa staili hii ya shule za kata. kulikuwa na shinikizo kubwa la kisiasa, na kuburuzana. huwezi kufanya jambo kubwa linalodai kushirikisha wataalamu na wadau wengine wa elimu, kwa kuwaburuza. nani atatekeleza au kusimamia utekelezaji? tunahitaji phase one, two three, inayoeleweka.

Lowasa anachapa kazi kwa msingi wa populism, kujitafutia sifa za haraka haraka kwa maslahi binafsi. tunahitaji wachapa kazi ndio, lakini si kwa staili ya Lowasa.
TATIZO HAPO NI KWAMBA LOWASSA YUKO WAZI SANA WHEN IT COMES KERO, HANA TOFAUTI NA MAGUFULI KTK ENEO HILO, HAWEZI KUMUITA MBUZI -NG'OMBE HATA KAMA WOTE WANATOA MAZIWA NA WANA PEMBE ATAMUITA MBUZI KWA WASIFU WA MBUZI. HAJIKWEZI BALI ANAJUA THAMANI YA MAMLAKA ALIYOMO, WAKATI NA NINI AFANYE ILI KUJIBU KIU NA MATARAJIO YA UMMA LAKINI ZAIDI ANAPENDA KURITHISHA AU KUELEKEZA JAMII KUTII MAMLAKA ZAO.

Hilo la tatu ndio kabisaaa, Lowasa hawezi kutufikisha pale tunapohitaji. kujiuzulu kwake kwa kashfa ni kielelezo tosha cha utendaji wake. kwa support aliyokuwa toka kwa JK, aliwezaje kudondoka? ni wazi maji yalifuata mkondo. na kashfa iliyomwangusha bado ndio kwanza inarindima, na inanuka jitihada kubwa za ngazi za juu kufunika kombe mwanaharamu apite

KUJIUZURU KWAKE NI FUNZO LA UWAJIBIKAJI KTK MAAMUZI UNAYOYAAMINI ULIYAFANYA KWA NIA NJEMA, KAMA KIONGOZI MKUU WA SERIKALI ALIKUWA NA OPTION MBILI, 1. KUKUBALIANA NA MWAKYEMBE'S TEAM KUWA WAKO SAHIHI 100% AND I'M SORRY KWA WANANCHI, BUNGE KWA NIABA YA SERIKALI NA YEYE BINAFSI, BUNGE LINGEJITAFAKARI NA KUJA NA AZIMIO AMBALO 65% LINGEMNUSURU KTK JANGA LA UWAZIRI MKUU.

2. KUIPINGA TEAM YA MWAKYEMBE, KUSIMAMIA MAAMUZI YAKE, KUTOOMBA MSAMAHA KWA WATZ NA BUNGE KWA NIABA YA SERIKALI NA KUCHUKUA MSIMAMO WAKE BINAFSI AMBAO UMEIPA CCM FURSA YA KIUTENDAJI KWA KUMLETA MBADALA WAKE BAADA YA YEYE KU STEP DOWN. AMEFAURU FUNZO LA MWALIMU J.K.NYERERE KUWA UNAPOKUWA KIONGOZI HUPASWI KUWA NA KAULI MBILI AU MISIMAMO MIWILI AU SURA MBILI ZA UONGOZI.... UKIWA HIVYO HUFAIIII...NDIO LINE ALIYOICHUKUA NA NDIO MSINGI WA KUENDELEA KWA MALUMBANO YA RICHMOND NA DOWANS TODATE, NA NDIO MSINGI WA SISI TUNAOAMINI KUWA MH. RAIS ALIFANYA MAKOSA KUKUBALI KUJIUZURU KWA WAZIRI MKUU WAKE KWA IMANI KUWA APATE FURSA YA KUANZA UPYA..... KUMBUKENI KUWA MPAKA SASA SERIKALI YA JAKAYA HAIJAKIRI KUKOSEA KTK ISSUE YA RICHMOND, WANAKIRI UDHARURA WA ISSUE YENYEWE ZAIDI KULIKO TARATIBU....MATOKEO YAKE NI UJIO WA KILIMO KWANZA BAADALA YA ELIMU KWANZA 2005 MISSION........, NDIO MATOKEO YA KUYUMBA KWA UTAWALA WAKE KTK UCHAGUZI HUU ULIOPITA, HAWA WALIKUWA WAMOJA TANGU 1995....... LOWASA WAS LEFT IN 1ST BWM BARAZA BCOZ OF JK CAMPAIGN AGAINST WAZEE WA CCM.........LOWASA ALITULIZANA NA KUTII CHAMA 1997 AKAREJESHWA, 2005 HAKUIGEUKA KAMBI YA RAFIKI YAKE KAMA AKINA MKUCHIKA N.K....


BADO NAAMINI MH.JK MISSES THAT FELLOW WITH WHITE HAIR MNOOOOO....
NDIYE MTU WAKE WA KWELI, WALIOWEZA KUMTENGANISHA NAYE NDIO MAADUI WA LEGACY YA JK NA SIYO LOWASA......

HOFU NI KIVULI CHA LOWASA KWAO WHEN JK ATAKAPOREJEA ZAKE MSOGA KWA MAPUMZIKO BAADA SULUBA NA MATESO ALOYAPATA TOKA KWETU WATZ, SIJUI KAMA HUYU MH. LOWASA ANAMPANGO WA KUMRITHI MH.RAIS J.K KWA NGUVU YOYOTE ILE? KAMA NI UMMA BASI TUUACHIE UFANYE MAAMUZI HAYO WAKATI UKIFIKA ILA KWA SASA TUCHAPE KAZI WAKURU.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.

NAOMBA NIAGE KTK HOJA HII KWA NUKUU WATANZANIA WENZANGU "NO ONE INDIVIDUAL IS BIGGER THAN THIS CLUB. THERE NEVER HAS BEEN AND NEVER WILL BE " LIVERPOOL BOSS KENNY DAGLISH (Mie mnazi wa Bwawa la Maini wakuru)
 
Ndege wafananao ndio wanaruka pamoja, LOWOSSA na KIKWETE uwezi kuwatofautisha lao ni moja. kiutendaji wote ni feeble na mafisadi wakubwa tena marafiki.
Hapa tusilete ushabiki na propaganda za CCM, kusifia pumba kama unataka kutafuta mazuri ya mtu uwezi kukosa hata hawa jamaa ni 'NINCOMPOOP' MAKAMBA na TAMBWE HIZZA mazuri wanayo
 
Umetumwa?

Lowasa anajiandaa kiukweli ukweli kwa ajili ya mwaka 2015,anatumia makanisa,anatumia upenyo ambao wapinzani wanatumia ili pia aonekane anafaa kwani anapinga uozo wa chama chake,anatumia watu wa kila mahali,na hapa anawatumia watu kama mtoa mada ili kubadili mawazo ya watu!

Kampeni zimeanza mapema sana,tuwaangalie kwa umakini watu hawa wanao jidai kuipenda Tanzania wakati kiukweli wanapenda matumbo yao na ya watoto wao tu!
 
Lowasa is better 100 times compared to mkwere! This is a fact

Inapofikia sehemu wananchi wanao ni bora kuwa na kiongozi mwenye misimamo (ata kama ni mwizi) kuliko kuwa na kiongozi mpole (ingawa si mwizi) ujue ile siku imekaribia.....
 
Mi nadhani tunamwonea bure Lowassa...Mwinyi alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani watu walimuona kama shujaa, lakini Lowassa alipojiuzulu watu wanamwona kama failure!!
Mi naona mara 100 afadhali ya Lowassa kuliko huyu tuliye naye sasa ambaye hakuna anayemsikiliza huko serikalini,anatoa maagizo kila wakati lakini hakuna anayeyafuata. Lowassa akitoa agizo analisimamia hadi mwisho. All in all i would rather have a leader ambaye anaonyesha tabia za kuongoza (except wizi,rushwa) kuliko kuwa na kiongozi anayeonyesha tabia za kuongozwa (mfuata upepo).
 
Mi nadhani tunamwonea bure Lowassa...Mwinyi alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani watu walimuona kama shujaa, lakini Lowassa alipojiuzulu watu wanamwona kama failure!!
Mi naona mara 100 afadhali ya Lowassa kuliko huyu tuliye naye sasa ambaye hakuna anayemsikiliza huko serikalini,anatoa maagizo kila wakati lakini hakuna anayeyafuata. Lowassa akitoa agizo analisimamia hadi mwisho. All in all i would rather have a leader ambaye anaonyesha tabia za kuongoza (except wizi,rushwa) kuliko kuwa na kiongozi anayeonyesha tabia za kuongozwa (mfuata upepo).

Tumemmiss Lowassa eh???
 
Simshangai huyu bwana kumfagilia lowassa. Arusha kuna wapuuzi wengi sana wanamwona el wa maana.
 
Hallow, Great thinkers!!!!
Kwangu mimi, Edward Lowassa namuona kama
1. kiongozi bora na anayeweza kusimamia maamuzi yake
2. Kiongozi ambaye yupo tayari kuchukua maamuzi mazito hata kama yataudhi wengi ilimradi yana maslaha kwa taifa
3. Kiongozi ambaye anaweza kulifikisha taifa pale tunapohitaji
1.Nakubali kuna mambo Lowassa ni good at ila Naomba utuambie unamfanyia comparrison na nani? PINDA,MSUYA.MALECELA nk
2.Tuwekee udhaifu wa hao wengine vs Lowassa ili tukuelewe
 
waliojunga JF 2010s wametofautiana sana!!

You can register with different names as much as you hapa JF! Wewe wa 2008 JF unajiona kigingi
Wenzako wana PhD toka 1980s na hawawazodoi waliopata 2010.
 
mtu hawezi kuwa na sura mbili tofauti mbele ya jamii lowasa ninayemjua hana tofauti na waziri mkuu majivuno aliyetajwa na marehemu Shaaban Robert katika riwaya ya Kusadikika amejaa tadi na inda.:A S 20::sick:
 
Huyo KATUMWA NA LOWASSA

Sasa Mwambie Hv Mungu Atamwathibu kitu ambacho hataamini macho yake.

Anatumia Nyumba za Ibada kujisafisha wakati yeye ni MWIZI na Kama anabisha Mbona Huwa HatAki kuulizwa kuhusu ile hotuba ya Mwl Nyere aliyomchana LIVE kuwa '' UMETOA WAPI MALI ZOTE HIZI''

Nyerere alimpa LIVE jamaaa kabaki Domo wazi

CCM mwekeni LOWASA kuwa Mgombea 2015 ndipo mtakapo JICHIMBIA kaburi wenyewe
 
Huyo KATUMWA NA LOWASSA

Sasa Mwambie Hv Mungu Atamwathibu kitu ambacho hataamini macho yake.

Anatumia Nyumba za Ibada kujisafisha wakati yeye ni MWIZI na Kama anabisha Mbona Huwa HatAki kuulizwa kuhusu ile hotuba ya Mwl Nyere aliyomchana LIVE kuwa '' UMETOA WAPI MALI ZOTE HIZI''

Nyerere alimpa LIVE jamaaa kabaki Domo wazi

CCM mwekeni LOWASA kuwa Mgombea 2015 ndipo mtakapo JICHIMBIA kaburi wenyewe

Ukiwa Tajiri wakati jirani yako ni masikini... na wewe ni masikini tu and you are very likely kuwa in conflict na neighbour wako masikini all the time....

OK labda hivi, ukiwa umeshiba wakati jirani yako ana njaa, you are in trouble, utakuwa kwenye matatizo na jirani yako tu especially akiwa anakuona unakula wakati yeye hana uhakika na mlo... hata kama chakula chako ni cha halali hatakuelewa ataamini umepata visivyohalali inakuwaje yeye hana... na akitokea mtu akakusingizia umeiba ah we acha majirani zako wote wenye njaa na usiomba wakawa wengi watakushambulia...

Sisemi Lowasa ni msafi lah, ila nadhani tunaexegarate tunatumia hisia zetu baada ya kuchanganywa na magazeti...
 
Ni jizi kupindukia,halina huruma na wananchi maskini.lina majivuno makubwa kama jina lake lowasa.li dictator libaya. Kumbuka lilivunja magorofa ya masaki kwa kuwa eti yanazuia upepo kwenye nyumba yake! Sasa tunatakiwa tuwalipe waliovunjiwa nyumba hizi kama sikosei shs.9 billion.to hell, shule zake za kata ni janga la kitaifa, je dowans?!! Nuksi, nuksi hapambiki hata kwa maua ya waridi. Kumbuka baba wa taifa the great mwalimu alivyo lifurusha. Je mmesahau article ya msaidizi wa zamani wa mwalimu mzee kasori?!! Bado yupo muulizeni habari za hili jizi. Uliyetumwa kumsafisha lazima wewe mwenyewe huamini unacho kiandika ila umekula rushwa maana ndio zake kununua vyombo vya habari na wanahabari njaa na uchwara.
Pole sana hatudanganyikiiiiiiiii.
 
Hallow, Great thinkers!!!!
Pamoja lawama na takataka zote anazotupiwa Edward Lowassa. Pamoja na mabaya yote aliyonayo Edward Lowassa kama mimi na wewe tulivyo na mabaya yetu, tutakuwa hatumtendei haki Edward Lowassa kama tusipo yatangaza mazuri yake.

Kwangu mimi, Edward Lowassa namuona kama
1. kiongozi bora na anayeweza kusimamia maamuzi yake
2. Kiongozi ambaye yupo tayari kuchukua maamuzi mazito hata kama yataudhi wengi ilimradi yana maslaha kwa taifa
3. Kiongozi ambaye anaweza kulifikisha taifa pale tunapohitaji

Baadhi ya mambo makubwa ambayo huwezi kuyataja bila kumtaja Edward Lowassa ni Uthubutu wake wa kuuvunja mkataba kati ya serikali na city water. Ni yeye aliyeasisi na kusimamia mradi wa shule za kata, though hazifanyi vizuri. Ni Edward Lowassa angalau alionesha nia ya kuleta mvua artificial na ninaamini kama Lowassa angeendelea kuwa PM leo hii uwajibikaji serikalini ungekuwa na mkubwa sana.

Nimegusa tu mazuri ya Laigwanani Lowassa, mazuri yapi ya Lowassa unayajua? Yaandike hapa

Kampeni ya Uraisi 2015.............. umesha-fail kajipange uppya badala ya kumsafisha ndo umetibua nyingo za wadau..... poteza hoja yako ya kuudhi!!!
 
Sina tatizo na namba moja hapo juu, tatizo langu linaanzia namba mbili pale uliposema "ilimradi yana maslaha kwa taifa" hapo nina tatizo kidogo. ukiangalia tokea huko nyuma alipokuwa anasimamia kitengo cha maafa na kujinufaisha (maslahi binafsi - hapo simtofautishi na mtu anayewakwapua majeruhi wa ajali) na alipokuwa waziri mwenye dhamana ya nyumba na ardhi - madudu aliyofanya, kwa kifupi tumwamini Nyerere aliyemwona moja kwa moja kwamba hafai uongozi ngazi ya juu. anachapa kazi kweli, lakini kuelekea wapi?

Tuangalie hili la shule za kata. sikatai kwamba mapinduzi yanahitaji nguvu kubwa, lakini kitu chochote katika ngazi hiyo kinahitaji umakini wa hali ya juu. maslahi ya taifa yanakudai ufanye jambo jema ambalo linadumu na linahitaji muda mrefu kutekeleza. maslahi ya kweli ya taifa humgharimu yule anayeyasimamia. sifa ni mara chache kwenda kwake maana yanaweza kukamilika wakati yeye hayuko madarakani.

mkakati wa kweli wa kuinua elimu Tanzania haiwezekani utekelezwe kwa staili hii ya shule za kata. kulikuwa na shinikizo kubwa la kisiasa, na kuburuzana. huwezi kufanya jambo kubwa linalodai kushirikisha wataalamu na wadau wengine wa elimu, kwa kuwaburuza. nani atatekeleza au kusimamia utekelezaji? tunahitaji phase one, two three, inayoeleweka.

Lowasa anachapa kazi kwa msingi wa populism, kujitafutia sifa za haraka haraka kwa maslahi binafsi. tunahitaji wachapa kazi ndio, lakini si kwa staili ya Lowasa.

Hilo la tatu ndio kabisaaa, Lowasa hawezi kutufikisha pale tunapohitaji. kujiuzulu kwake kwa kashfa ni kielelezo tosha cha utendaji wake. kwa support aliyokuwa toka kwa JK, aliwezaje kudondoka? ni wazi maji yalifuata mkondo. na kashfa iliyomwangusha bado ndio kwanza inarindima, na inanuka jitihada kubwa za ngazi za juu kufunika kombe mwanaharamu apite


Hiyo red: well said ndugu yangu. (Ingawa kuna sahihisho dogo, nadhani ulitaka kusema popular-ism ikatokea typo) lakini big up. Umaarufu ndio objective na motivation ya Lowassa sio maslahi ya nchi wala nini.

Hizi takwimu na machapisho ya aina hii yaninonyesha kutojiamini na kukosa maono kuona mbele kwa waandishi, kwa sababu ya:-
1. Kukosa uelewa wa kina na yakinifu juu ya uhusiano kati ya Lowassa na hali duni ya uchumi Tz
2. Kutoona madhara ya Janga la Ufisadi wa Tz hivi leo
3. Kukataa kutumia uhuru wa fikra (kufikiri nje ya kundi la wanasiasa waliopo sasa) vs ya Tz mpya siku zijazo
4. Kutawaliwa na Maslahi binafsi dhidi ya Maslahi ya Umma
5. Kupuuza hatari ya Lowasa na watu wake kwa usalama wa Taifa la Tz.

Yapo mengi tu...................ila mwisho wa siku, ukweli ni kuwa Lowassa haifai Tz, hastahili kuongoza hata kijiji na anapswa kusimama mbele ya Mahakama ya Sheria kujibu tuhuma na vitendo vya ufisadi alivyoifanyia jamii ya WaTz na Tz kwa ujumla wake.
 
Hivi baba wa taifa alivyomkataa alikuwa hjui utendaji kazi wa Lowassa? hayo unayotwambia ya shule za kata na njia tatu kupunguza msongamano ni shortcut za serikali baada ya kuona mambo ni magumu kwao kwa kutokuwa na mipango mizuri ya kuendeleza nchi.
Tunahitaji viongozi ambao wanaweka priorities katika maendeleo sio zima moto kama shule za kata, njia tatu, richmond/ dowans.
Lowassa ni mzuri katika zima moto ya mambo si kuandaa mazingira endelevu ya maendeleo
 
Madela this is a million dollar question kwa mtoa hoja, kwa nini amemkumbuka Lowassa?

However, another question to you is, how can we know this is a good leader or not kama hatujamsikia, anachofanya hapa mtoa hoja ni comparison!! na amesema kabisa kuwa ' ana matakataka yake' anachofanya ni ku-compare na hawa waliopo!! maana wengine hawajui labda aliosoma nao primary!! sasa ukiona katika ccm hawa bado Lowassa anaonekana basi ujue hao wengine ndio hawafai hata kuwa discussed

Nashangaa thread za siku hizi hazina hoja, ni vijembe tu... lakini madela wa mdilu......sio unafki kweli tunabkubali mkwere kuendelea kuwa rais wetu usiku na mchana huku tunamkataa lowssa? yaani wanaotukana matusi wanatumia basis gani? kuwa hawa wengine ni wasafi??

Waberoya,
Huo ni msimamo na tafsiri yako juu ya chapisho hili.

Pia sioni kusema (nanukuu) "ku-compare na hawa waliopo..." ni hoja yenye mshiko kwani (standard prcatice) na vision yenu mnajilinganisha na nini?

Sikuelimishi Waberoya, ila unajua wazi kuwa ukitaka kuwa the best katika kitu fulani unajifunza na kujipima na walio the best katika kitu husika. Hujifunzi ujasiri kwa waoga.

Thread hii kama ilitaka kuwa na tija (nadhani kulingana na tafsiri yako) basi alipaswa kwenda mbele zaidi kwa sababu rahisi - kila mtu Tz na kwingineko anajua wazi madudu/udhaifu wa hao watawala hapo Magogoni sasa kwa nini una-compare (sio wewe) wahalifu katika uchafu wao unataka nini?. Ili twende mbele angelinganisha viongozi wa nchi zilipiga/zinazopiga hatua au ampime Lowassa na PMs waliokuwa na +ve impacts katika tenures zao.
 
Back
Top Bottom